Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,373
- 8,283
Security system za gmail ziko vizuri sana. Mnaojimwambafy nawashangaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naweza kuja PMmkuu mimi naweza kukusaidia lakini ndo hvyo sio kimasiliano kama unavyosema mpaka uwasiliane na google,tunakaa pamoja kwenye computer yako na kuanza mambo ya ku reset gmail yako kwasababu hata mi nishawahi kukumbana na tatzo kama lako,lakn niliweza kulifanikisha kuna process unatakiwa uifuate.
Kama tatizo halijatatuliwa na upo ukanda wa pwani na dsm naomba uni DM.Mkuu kusajili nyingine nafahanu lakini haiwezi kufanana na ile ya mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ilisha nikuta tena mimi recovery options zilikuwa tatu. Namba moja ya simu, email moja ya google na nyingine yahoo. Kote huko walikuw wanatuma codes zao kwa ajili ya kuveryfy ila ukiziingiza wanakupa ujumne huo uliouandika hapo. Nilisubiri sana kwa matumaini kuwa system huwenda ikakaa sawa lakibi hakuna kilichobadilika. HAKUNA NJIA NILIYOTUMIA KUPATA ACCYTENA KWENYE ACC YANGU ZAIDI YA KUKUMBUKA PASSWORDS. THANK GOD SIKUKUTA MALICIOUS activity KWENYE ACCOUNT YANGU. Kila la kheri mkuuMastaKiraka, Nikiweka hiyo Gmail ya kucontact wanachofanya wanatuma code kwenye ile Gmail halafu nikija nikiingiza kwenye acc yenye tatzo wanasema wanashindwa kuverify kama account ni yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna email yangu nilikuwa nimesahau password tangu mwaka 2015 na wakaniambia hivyo wameshindwa kuverify account yangu, lakini mwezi Agosti mwaka huu (2020) nikaijaribu kulogin ikakubali.Habari wakuu,
Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved.
Ipo hivi: Nina Gmail account yangu ambayo huwa naitumia katika shughuli zangu muhimu sana siku moja nikatumiwa verification code za kureset password bila ya Mimi kureset password nikashtuka nilichofanya nika-change password haraka haraka, tatizo ndipo liliponikuta.
Nikaitumia kama week moja mbele jambo la kushangaza siku moja naingia nikakuta imeji-logout yenyewe nikajisemea haina shida nita-login upya, sasa mzozo ukaja kwenye password -- niliyoiweka mpya siikumbuki.
Ikumbukwe hii account ina recovery phone number yangu ambayo ninayo. Nikajaribu kureset verification code zinafika lakini inagoma ku-reset. Wananiambia niweke Gmail ambayo wata-contact na mimi later na nikiweka Gmail wananiambia wanashindwa ku-verify kama account ni yangu
Tatizo hili limenitokea toka October lakini hadi leo nimeshindwa kuirejesha na naihitaji sana. Nimejaribu kufatilia kwa Wana IT wa Tz lakini wapi; na katika pitapita zangu katika support forum yao wanasema account kila ikiendelea kujaribiwa ku-reset ni sawa sawa pingu kila unavyojaribu kuitoa ndio inazidi kukaza.
Nimeshajiunga vifurushi vya kimataifa kama vya USA,Canada, UK na vya nchi nyingine ili niweze kuwapigia customer care katika nchi hizo lakini hawapokei; nimeambulia hola! Leo pia nimejiunga na vifurushi vya Kenya kupiga customer service ya Kenya lakini hawapokei.
Jambo nililofikiria kutembelea Google House kwa East Africa ipo Kenya na Kenya kwenda ndio hadi passport hizi mpya za kielectroniki na mimi nina zile za zamani. Nikifikiria kuanza ku-apply passport muda unazidi kwenda sana nahitaji kwa siku mbili tatu hizi.
Ombi langu kwa mtu yoyote ambaye yupo Kenya au nchi nyingine ambaye anaweza kunisaidoa kutembelea tawi la Google na kuniwakilisha nitampa kiasi tajwa hapo juu kama Asante njia za malipo PayPal, Bitcoin au Payoneer.
NOTE: SIHITAJI MTU WA KUIRESET YEYE MWENYEWE BILA KUTEMBELEA GOOGLE AU KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEWAHI KUWASILIANA NA GOOGLE UNAWEZA NISAIDIA NJIA ULIYOTUMIA KUWASILIANA NAO PIA KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEPATA TATIZO KAMA LANGU NA KULISOLVE NAOMBA MSAADA
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni unataka mtu aende Kenya kwa $100Sijafanikiwa kusolve hili tatzo hadi leo
Hili tatizo nalijua na nimeshawahi kulisove kabla.Habari wakuu,
Nimepata tatizo ambalo kimsingi sio kubwa sana na pia sio dogo sana, ni la wastani. Lakini kwa wahusika ni jepesi sana, linaweza tumia dakika 1 kuwa solved.
Ipo hivi: Nina Gmail account yangu ambayo huwa naitumia katika shughuli zangu muhimu sana siku moja nikatumiwa verification code za kureset password bila ya Mimi kureset password nikashtuka nilichofanya nika-change password haraka haraka, tatizo ndipo liliponikuta.
Nikaitumia kama week moja mbele jambo la kushangaza siku moja naingia nikakuta imeji-logout yenyewe nikajisemea haina shida nita-login upya, sasa mzozo ukaja kwenye password -- niliyoiweka mpya siikumbuki.
Ikumbukwe hii account ina recovery phone number yangu ambayo ninayo. Nikajaribu kureset verification code zinafika lakini inagoma ku-reset. Wananiambia niweke Gmail ambayo wata-contact na mimi later na nikiweka Gmail wananiambia wanashindwa ku-verify kama account ni yangu
Tatizo hili limenitokea toka October lakini hadi leo nimeshindwa kuirejesha na naihitaji sana. Nimejaribu kufatilia kwa Wana IT wa Tz lakini wapi; na katika pitapita zangu katika support forum yao wanasema account kila ikiendelea kujaribiwa ku-reset ni sawa sawa pingu kila unavyojaribu kuitoa ndio inazidi kukaza.
Nimeshajiunga vifurushi vya kimataifa kama vya USA,Canada, UK na vya nchi nyingine ili niweze kuwapigia customer care katika nchi hizo lakini hawapokei; nimeambulia hola! Leo pia nimejiunga na vifurushi vya Kenya kupiga customer service ya Kenya lakini hawapokei.
Jambo nililofikiria kutembelea Google House kwa East Africa ipo Kenya na Kenya kwenda ndio hadi passport hizi mpya za kielectroniki na mimi nina zile za zamani. Nikifikiria kuanza ku-apply passport muda unazidi kwenda sana nahitaji kwa siku mbili tatu hizi.
Ombi langu kwa mtu yoyote ambaye yupo Kenya au nchi nyingine ambaye anaweza kunisaidoa kutembelea tawi la Google na kuniwakilisha nitampa kiasi tajwa hapo juu kama Asante njia za malipo PayPal, Bitcoin au Payoneer.
NOTE: SIHITAJI MTU WA KUIRESET YEYE MWENYEWE BILA KUTEMBELEA GOOGLE AU KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEWAHI KUWASILIANA NA GOOGLE UNAWEZA NISAIDIA NJIA ULIYOTUMIA KUWASILIANA NAO PIA KAMA KUNA MTU AMBAYE AMEPATA TATIZO KAMA LANGU NA KULISOLVE NAOMBA MSAADA
Sent using Jamii Forums mobile app