Msaada: Asili yangu inanishangaza

Msaada: Asili yangu inanishangaza

Hapo kwenye big five nigusie na mm

Iko hivi, BIG FIVE PERSONALITY MODEL ilitokana na maboresho ya PSYCHOLOGICAL TYPOLOGY ya CARL .G. JUNG ambae ndo aliewabainisha watu katika makundi makuu mawili INTROVERTS na EXTROVERTS.

Hivyo basi katika BIG 5 kuna traits 5 zinazounda personality nzima ya mtu na kila trait inaanzia upande mmoja mpaka wa pili ambao ni kinyume kabisa na ule wa mwanzo.

mfano rahisi usio halisi ni kuwa rangi ya ngozi ya binadamu( hapa nitaichukulia kama trait) ni mojawapo ya sifa ya mwonekano wake wa nje( hii ndo mfano wa hainba au personality) na kila mtu anaangukia katika rangi flani kuaanzia mweupe mpaka mweusi na hakuna rangi mbaya au nzuri kuliko nyingine sema tu binadamu wakiamua kuvumisha jambo (kwa kukosa maarifa sahihi) kuwa mtu mweupe ni mbaya au mweusi ni mzuri linapitishwa na hapo ndo ubaguzi wa rangi na matatizo yote yanapoanzia . Kwa hiyo usipokuwa mwelewa wa mambo kama wao unaweza kuambiwa unaumwa au wewe kichaa au ukashindwa hata kufanikisha malengo yako kwa kukosa ushirikiano au kushindwa kwendana nao.Japo ni kweli kuna faida na hasara za kila upande.

Hivyo ni muhimu sana kujua faida na hasara traits zako zote ili uweze kuishi kwa amani na kila mtu na kufanikisha malengo yako. Hapa chini nitajaribu kuelezea kwa kifupi traits 2 kati ya 5 nlizoziona kwa mtoa mada hapo juu na faida na hasara zake.

Hizo traits 5 ni

1.OPENNESS
2.CONSCIENTIOUSNESS
3.EXTROVERSION-ni hali ya mtu kupenda kuongea , kutoka out, shangwe, marafiki wengi, story nyingi, party sana, harusi , shughuli na mambo kama hayo kiufupi ni watu wa mizuka na wanajiamini
4.AGREEABLENESS- ni hali ya mtu kukubaliana na wengine, kusaidia, kukubali mawazo ya wengine, huruma kwa wengine na kutopenda kuwakwaza wengine.
5.NEUROTICISM

Sasa mtoa mada yeye hapo kwenye 3 ana LOW EXTROVERSION kwa maana ya kuwa yeye ni kinyume chake i.e ni INTROVERT faida yake kubwa ni huwa wana uwezo zaidi wa kufikiri na kuchambua mambo kabla ya kuropoka au kukurupuka. Hasara kubwa ni kukosa connections za kufanikisha mambo na kuchelewa kufanya mambo kwa kukalia kufikiria na kuchambua au kutokujiamini haswa mbele za watu.

Tukija kwenye 4 mtoa mada ana LOW AGREEABLENESS kwa maana akishikilia jambo hataki kupingwa kirahisi, hana huruma za ovyo ovyo, anapenda kusimamia ukweli hata kama utamuumiza mtu. Faida yake ni kuwa ni ngumu kupelekeshwa katika maisha yake , na wanakuwaga wazuri kwenye sehemu zinazohitaji maamuzi magumu, hasara ni kuwa wanachukiwa na watu wengi kwa kuwa hawakubaliani kizembe na mawazo yao au wanajiona kuwa wao wako sawa kila muda na hawana huruma za ovyoovyo kwenye kusimamia ukweli au haki.

Kiufupi haiwezekani kuelezea kila kitu hapa na ngumu kuelewa hivi vitu kwa watu wengi
 
Iko hivi, BIG FIVE PERSONALITY MODEL ilitokana na maboresho ya PSYCHOLOGICAL TYPOLOGY ya CARL .G. JUNG ambae ndo aliewabainisha watu katika makundi makuu mawili INTROVERTS na EXTROVERTS.

Hivyo basi katika BIG 5 kuna traits 5 zinazounda personality nzima ya mtu na kila trait inaanzia upande mmoja mpaka wa pili ambao ni kinyume kabisa na ule wa mwanzo.

mfano rahisi usio halisi ni kuwa rangi ya ngozi ya binadamu( hapa nitaichukulia kama trait) ni mojawapo ya sifa ya mwonekano wake wa nje( hii ndo mfano wa hainba au personality) na kila mtu anaangukia katika rangi flani kuaanzia mweupe mpaka mweusi na hakuna rangi mbaya au nzuri kuliko nyingine sema tu binadamu wakiamua kuvumisha jambo (kwa kukosa maarifa sahihi) kuwa mtu mweupe ni mbaya au mweusi ni mzuri linapitishwa na hapo ndo ubaguzi wa rangi na matatizo yote yanapoanzia . Kwa hiyo usipokuwa mwelewa wa mambo kama wao unaweza kuambiwa unaumwa au wewe kichaa au ukashindwa hata kufanikisha malengo yako kwa kukosa ushirikiano au kushindwa kwendana nao.Japo ni kweli kuna faida na hasara za kila upande.

Hivyo ni muhimu sana kujua faida na hasara traits zako zote ili uweze kuishi kwa amani na kila mtu na kufanikisha malengo yako. Hapa chini nitajaribu kuelezea kwa kifupi traits 2 kati ya 5 nlizoziona kwa mtoa mada hapo juu na faida na hasara zake.

Hizo traits 5 ni

1.OPENNESS
2.CONSCIENTIOUSNESS
3.EXTROVERSION-ni hali ya mtu kupenda kuongea , kutoka out, shangwe, marafiki wengi, story nyingi, party sana, harusi , shughuli na mambo kama hayo kiufupi ni watu wa mizuka na wanajiamini
4.AGREEABLENESS- ni hali ya mtu kukubaliana na wengine, kusaidia, kukubali mawazo ya wengine, huruma kwa wengine na kutopenda kuwakwaza wengine.
5.NEUROTICISM

Sasa mtoa mada yeye hapo kwenye 3 ana LOW EXTROVERSION kwa maana ya kuwa yeye ni kinyume chake i.e ni INTROVERT faida yake kubwa ni huwa wana uwezo zaidi wa kufikiri na kuchambua mambo kabla ya kuropoka au kukurupuka. Hasara kubwa ni kukosa connections za kufanikisha mambo na kuchelewa kufanya mambo kwa kukalia kufikiria na kuchambua au kutokujiamini haswa mbele za watu.

Tukija kwenye 4 mtoa mada ana LOW AGREEABLENESS kwa maana akishikilia jambo hataki kupingwa kirahisi, hana huruma za ovyo ovyo, anapenda kusimamia ukweli hata kama utamuumiza mtu. Faida yake ni kuwa ni ngumu kupelekeshwa katika maisha yake , na wanakuwaga wazuri kwenye sehemu zinazohitaji maamuzi magumu, hasara ni kuwa wanachukiwa na watu wengi kwa kuwa hawakubaliani kizembe na mawazo yao au wanajiona kuwa wao wako sawa kila muda na hawana huruma za ovyoovyo kwenye kusimamia ukweli au haki.

Kiufupi haiwezekani kuelezea kila kitu hapa na ngumu kuelewa hivi vitu kwa watu wengi
Stay blessed watu kama nyinyi yawezekana mmebaki wachache sana
 
Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.
Katikq utulivu wako jaribu kuspend muda mrefu bafuni kwako ukimwditate bila nguo.

Kuna majibu utayapata yafanyie kazi
 
Kama maisha hayo yanakupa furaha endelea kuishi hivyo,maisha ni furaha achana na wapiga domo ambao muda wote wanapenda wawe wanasikilizwa wao tu na ndio faraja yao ilipo,usikubali wakutoe kwenye ulimwengu wako wakupeleke kwenye ulimwengu wao ili wakupe huzuni.Mimi mwenyewe ni kama wewe tu naweza shinda ndani siku hata tatu bila kuonana na mtu yeyote na hakuna shida na ninayafurahia maisha.Achana na hao wanasaikolojiia wa mitandaoni wanaosema “eti dalili za ugonjwa wa kichaa”
 
Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.
Utaanza kukimbia uchi ukidhani uko pekeyako (simaanishi dishi limeyumba)
 
Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.
Tuliosoma Cuba tumekuelewa

Waliosoma Urusi muda huu wamejazana huko PM.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom