Msaada: Asili yangu inanishangaza

Msaada: Asili yangu inanishangaza

Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.
tafuta pesa, acha ujinga.
 
1. Cheki mpira vibanda umiza au nenda Taifa.
2. Nenda Bar au pool table
Mathalani mm hivi vitu vimenishinda kabisa na hata nikijilazimisha hua naona kama nimejipa adhabu mbaya sana ishu za technology na intelligency ndio hua na_enjoy, personal pombe nimekunywa sana ila ikafika kipindi nimekua si enjoy kabisa kwanza zimenikataa nikinywa siyumbi hata bia 7 hunikuti nikiyumba ila kimbembe ni kesho yake hua napata mateso mpaka nashindwa kuamini kama ni pesa zangu zinanifanya vile nikazipiga chini starehe imehamia kwenye kusoma na pia nipo kwenye mazoezi ya ku_socialize japo hua nafeli mara nyingi
 
Hakuna tatizo ndivyo ulivyo. We jitenge tu mkuu kwanza Dunia imejaa kelele mno.
Sanaa
Kama ela ya kula ipo, maisha yanaenda hana njaa njaa za hovyo ajitenge tu.
Sema tu asikae ndani
Atafute tu mitaa flani awe anapata hewa safi ..yaliyobaki hakuna baya kabisa!
Mimi ningekua nawez ningeendaga kukaa porini jinsi wanadamu walivyonikifu.
 
Sanaa
Kama ela ya kula ipo, maisha yanaenda hana njaa njaa za hovyo ajitenge tu.
Sema tu asikae ndani
Atafute tu mitaa flani awe anapata hewa safi ..yaliyobaki hakuna baya kabisa!
Mimi ningekua nawez ningeendaga kukaa porini jinsi wanadamu walivyonikifu.
Mambo mrembo
 
Kusoma vitu kunakufanya uzungumze na nafsi yako. Sioni kama una tatizo ila upo selective
 
Ndo ulivyo....kaa ivoivo huko nje watu wanoko kweli...usnitch sana
 
from your calmest mind...inaweza kuwa kinajengeka kitu kizuri au kibaya. Anza kusoma vitabu vya neuroscience ukimix na kusoma hivyo dini unakuwa mtu special sana.

Anza na hivi.
1: Power of subconscious mind by Murphy
2: Why we do what we do,
3: The power of Neuroplasticity
5: Law of attraction
 
Hapo Mungu akuongoze tu.

Kua makini katika hayo unasoma ukakutana na articles zitakazokudanganya kua you're a female trapped in a man body na ndio maana unapenda kukaa mwenyewe.

Other than that jitahidi kuinteract na watu haya maisha ya kujitenga ni mzigo sana hasa ukifikia in your 30's wale marafiki uliokua nao watakua na familia na majukumu tayari. Hivyo watawatafuta wale tu wenye ukaribu nao ila wewe wakujitenga utabaki na upweke tu.

Learn to Interact Bro!
Unachosema ni kweli,niliona documentary moja mtoto alikuwa na tabia kama hizo wazazi wakampeleka kwa mwanasaikolojia akawaambia ni wa kike ndani ya mwili wa mtoto wa kiume, yaaani hii dunia.!sasa hivi anavaa mavazi ya kike
 
Unachosema ni kweli,niliona documentary moja mtoto alikuwa na tabia kama hizo wazazi wakampeleka kwa mwanasaikolojia akawaambia ni wa kike ndani ya mwili wa mtoto wa kiume, yaaani hii dunia.!sasa hivi anavaa mavazi ya kike
Wale watu wa upinde wakiona upo tofauti kidogo na watu wengine wanapush agenda zao hapohapo
 
Huo si ndio ule ugonjwa wanaita nini sijui.... Wanaitaja taja sana. Kuna jamaa yangu ya mtoto mdogo WA kama 6 years yuko hvy hvy hata shuleni yeye anakaa alone tu anacheza peke yake. It's like yuko kwenye ulimwengu WA peke yake tu
 
Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.
Niseme hv kama wewe ni mkatoliki unafaa kuwa padre.
 
Nina miaka 25 Jamani Mimi huwa nashangazwa na baadhi ya tabia zangu mfano napenda kujitenga mwenyewe kimya, au nasikiliza mziki Kwa sauti ya Chini mno,nnaposema napenda kujitenga ni pamoja na kuchukia kampani ya mtu yoyote Yule Yani Mimi nusu saa huku namsikiliza mtu au watu wakiongea kwangu ni kero sana..nikiwa mwenyewe kimya mara nyingi najisomea vitabu nakuwa na furaha pia nahisi Sura yangu ikiondoa mikunjo, ila nikiwa na rafiki yangu yoyote nakuwa nahisi kabisa kuwa anagundua namna nnavyoboeka..napenda mahusiano ila nikikaa na girl Tu mara ya Kwanza ya pili zile exaggerations zao zinaniboa au wakija getto redio sauti ya juu na ni relationships nyingi nimevunja mwenyewe Kwa kuomba kuachana ambapo wengi wakiuliza tatizo nini niliwajibu haikupangwa tuwe pamoja na ila uwa wananiachia kibwagizo kuwa siko sawa, sio muongeaji kabisa kazini ambako ndo mahali pangu pagumu mno kuishi uwa nachukuliwa mtu makini, mstaarabu uwa wanadhani ni mtu nnaewasikiliza Sana ila mara nyingi uwa sijui huwa wanazungumzaga nini maana ni kama nakuwa katika ulimwengu wangu ila wao wanapiga kelele kuni disturb Girl ukiona nimekuapproach ujue hakika wewe ni mrembo maana mpaka kufikia umri huu nimewahi kutongoza kama mara mbili Tu ila wengi uwa wanajiweka kwenye reli kama kuniactivate

Jamani naomba msaada Nina mambo mengi naweza kukaa ndani kuanzia ijumaa jioni Hadi jumatatu asubuhi najisomeaa Tu na sijui napenda kusoma au natafuta nini katika kujisomea Hali hii inanifanya nisipende kuwatafuta watu wangu wa karibu kwenye simu,marafiki zangu ni walewale wa siku zote walionizoea since sina mlango Kwa marafiki wapya Yani hata kazini sina wakusema ni mshikaji ila wananipenda nadhani Kwa sababu siko kwenye upande wowote wa wafanyakazi wenzangu pia Mimi ni mbishi nasimamia misimamo yangu Tu ila sio Kwa sauti so huwezi kunipinga, since sipendi mikusanyiko sio mtu wa majumba ya ibada ila getto nipo full biblia na Qur'an nnazo na nasoma Sana vitabu vya theology.

Una macho meupe ukiambiwa uvute bangi utaki!,sasa hilo jini mahaba litakutoka vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom