Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 500
- Thread starter
- #21
Mkuu tatizo sio kuiuza ila nikitaka tu kufahamu kama inawezekanamkuu, nakushauri uniuzie hio cmu yako upate fedha za kununua samsung unayoitaka. utaniuzia kwa sh ngapi?
Mkuu tatizo sio kuiuza ila nikitaka tu kufahamu kama inawezekanamkuu, nakushauri uniuzie hio cmu yako upate fedha za kununua samsung unayoitaka. utaniuzia kwa sh ngapi?
Naipenda hii niliyonayo kwa hyo haina hajaau nikupe samsung yangu unipe hiyo simu yako na pesa? 😜😜😜😜
Tatizo kipato kinazinguakama unataka mwanga wa samsung si ununue tu samsung shida yote ya nini?
Binadamu tumeumbwa tofautitofauti acha ni wavumilie maana hakuna namnaHayo majibu ningekuwa mie ningefuta hii post....
Exactlysamsung wanatumia vioo vinaitwa amoled, vyenyewe pixel zinajiwasha zenyewe moja moja.
makampuni mengine mengi hutumia vioo vya lcd ambavyo kunakua na mwanga kwa nyuma unamulika
![]()
hivyo kama kioo chako ni lcd huwezi kupata quality/effect ya amoled sababu huna hardware husika.
hope blue unayoizungumzia ni hii
![]()
Nimejaribu ni mizunguodownl:----->>hola launcher utafurahi sana!
haja ipo mkuu hiyo uliyonayo haina mwanga wa samsungNaipenda hii niliyonayo kwa hyo haina haja
Hahahhahaa mkuu nihitimishe tu kwa kusema not for salehaja ipo mkuu hiyo uliyonayo haina mwanga wa samsung
Tatizo kipato mkuuSasa si ununue hiyo samsung!