monotheist
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 720
- 942
Habari wakuu, Result slp hazijatoka na kuna chuo Fulani kina dahili kwa kupeleka application form moja kwa moja katika chuo hicho
Namaanisha hawatumii ule mfumo wa online application hivyo basi nahitajika kudownload matokeo kisha kuambatanisha na application form.
Msaada kwa anayefahamu
Namaanisha hawatumii ule mfumo wa online application hivyo basi nahitajika kudownload matokeo kisha kuambatanisha na application form.
Msaada kwa anayefahamu