Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,695
- 4,985
kilio changu inaitwaasante kwa msaada nikaupakue kama upo
kilio changu inaitwaasante kwa msaada nikaupakue kama upo
Cheki na Mwalimu Frank Msigwa atakuwa nao huoMi nautafuta ule unaimbwa
Hii ndio a...aaaa aaaa aaaaaa
ipo kama kikombeeee aaaa aaaa aaaa
Hii ndio ee .... eeee eeee eeee
ipo kama kaataaa eeeee eeee eee
Kaimba nani sjui....Sjui ni King Kiba yuleee.....Anayeujua tafadhali
hongera wa michano huyo...wimbo unaitwa shuka au mashabiki.Kuna wimbo fulani wa kitambo kidogo wa hip hop wanaimba hivi
"jamani mashabiki(shuka shuka),
mashabiki bwana(shuka shuka),
hata biti halijaanza(shuka shuka)"
kwa unaepata huo wimbo naomba anielekeze wapi pa kuupata.
Hebu andika na biti lake basi kidogoKuna wimbo fulani wa kitambo kidogo wa hip hop wanaimba hivi
"jamani mashabiki(shuka shuka),
mashabiki bwana(shuka shuka),
hata biti halijaanza(shuka shuka)"
kwa unaepata huo wimbo naomba anielekeze wapi pa kuupata.
Solo Thangmimi natafuta wimbo mmoja hivi unaimbwa...
"ni verse ya kwanza , naanza
stone kama banza
niite Mtanza-
Nia ndo ya kwanza..
ukifuga viroboto usiogope kutoa funza"!!!
unaitwaje huu, na aliimba nani?
Hongera unaitwa shukaNAMIMI NIMEUTAFUTA HUU WIMBO MWAKA WA NNE SASA BILA MAFANIKIO NAOMBA ALIYEUPATA ANIPATIE NAMI
Solo Thang Feat Q chief Kilio Changu..mimi natafuta wimbo mmoja hivi unaimbwa...
"ni verse ya kwanza , naanza
stone kama banza
niite Mtanza-
Nia ndo ya kwanza..
ukifuga viroboto usiogope kutoa funza"!!!
unaitwaje huu, na aliimba nani?