Msaada anataka kutoroka kazini aende masomoni

Msaada anataka kutoroka kazini aende masomoni

wamisako

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
917
Reaction score
872
Mwalimu mmoja, idara msingi anataka kutorka kazini aende masomon kuchukua shahada baada yakuomba ruhusa nakunyimwa na mkuu wa idara wakati kuna wengne wanamwaka mmoja kazini lkn wanapewa ruhusa ya kwenda masomoni, je atafungiwa mshahara wake?? lakini yeye kwa sasa yupo halmashauri mpya ila mshahara wake bado unatoka kupitia halmashaur mama, ila fail lake na vitu vingne vipo halmashaur mpya, na saiv kafanya application kwenda chuo na kaomba loan bord, je atafungiwa mshahara au afanyeje ili asifungiwe mshahara??
 
Mwambie avute subira mpaka atakaporuhusiwa na mwajiri wake asitoroke kwa kuangalia historia au kukidhi haja yake maana siyo taratibu sahihi
 
Kilichofanya anyimwe ruhusa ndicho kitamfanya afungiwe mshahara ndani ya mwezi 1 mwambie atulie tulii huko chuoni atakula mawe? Hata akipata boom ajira take no muhimu sana
 
Waoga nyie maisha ni maamuzi binafsi

Kama ameshatimiza miaka miwili kazini na alikuwa kwenye mpango wa kwenda masomoni kwenye shule yake mwambie aende akapige kitabu.
Yapo mambo mawili ya mtu kuzuiliwa kwenda masomoni hasa na mkuu wake
1.Kama masomo yake hakuna mwalimu mbadala au kama ni tegemeo katika masomo yake,wakuu wengi huwa wanabana.
2.Kuwa na chuki binafsi na mkuu wako.
 
Ha yaani mtumishi ana mwaka mmoja anaruhusiwa hlf yeye mkongwe anazuiwa? Mh hlf how possible mtu yuko ktk utumishi just one year hlf aruhusiwe?
 
Ckiza, mwambie aende crdb bank achukue mkopo mkubwa ambapo salary itabak kama elf 50 tu kwa mwez. Baada ya hapo apotee akasome, hakika hatafukuzwa kaz wala kuzuiwa mshahara. Akirud masomon maisha kama kawaida na aripot k2on kwake. Weng nawafaham wamefanya hvyo na had leo wapo kazni. 'chukua chako mapema'(ccm)
 
Mimi Nilitoroka Bana Mshahara Ukakatwa.Nimekaa Miaka 4 Bila Mshahara.Ukitaka Kubisha Nitafute Nitakuhadithia.Nimekaa Miaka 3 Na Nikatoswa.Mwalimu Kama Huamini Toroka Na Utaleta Uzi.Utafutwa Kwe Payroll Na Utumishi.
 
Elimu ndo kila kitu atoroke tu hata Lowassa kasema Elimu Elimu Elimu
 
Mwalimu mmoja, idara msingi anataka kutorka kazini aende masomon kuchukua shahada baada yakuomba ruhusa nakunyimwa na mkuu wa idara wakati kuna wengne wanamwaka mmoja kazini lkn wanapewa ruhusa ya kwenda masomoni, je atafungiwa mshahara wake?? lakini yeye kwa sasa yupo halmashauri mpya ila mshahara wake bado unatoka kupitia halmashaur mama, ila fail lake na vitu vingne vipo halmashaur mpya, na saiv kafanya application kwenda chuo na kaomba loan bord, je atafungiwa mshahara au afanyeje ili asifungiwe mshahara??
Yaani atoroke na mshahara aendelee kulipwa..?? Hiyo kitu haipo..
 
weeeee ukitaka kuruka agana na nyonga mi yalinikuta cha kwanza hakikisha umepata booom mengne yanafuata omba ruhusa isiyo malipo ila usithubutu kutoroka tu kama VIP ni pm
 
weeeee ukitaka kuruka agana na nyonga mi yalinikuta cha kwanza hakikisha umepata booom mengne yanafuata omba ruhusa isiyo malipo ila usithubutu kutoroka tu kama VIP ni pm

Mfano UkatorokaNini Kinatokea?
 
Kabla hujatoroka fanya mambo makuu3, la kwanza hakikisha una fedha au msaada wa kukufanya umalize masomo yako iwapo salar watakata,2.Hakikisha unaenda kusomea kitu ambacho ni marketable na ukimaliza utapata kazi mapema na3.Usije anza kuombaomba kwa walimu wenzako bali ukiondoka umeondoka.mwisho tambua kuwa nia malengo na ndoto ndivyo vitadetermine ur future life na si mtu fulani.SEMA YES U CAN JUST DO IT
 
Hivi Ukitoroka Unaweza Pata Ajira Ya Ualimu Tena Wadau??
 
Back
Top Bottom