Msaada: Amekataa kuenda kwao baada ya kunisaliti

Msaada: Amekataa kuenda kwao baada ya kunisaliti

jogger

Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
16
Reaction score
8
Habari wanajamvi,

Nimeishi ya mwanamke kwa miaka mitatu na tuna mtoto mmoja. Ila hajufunga ndoa. Jana nimekuta jumbe za mapenzi za mwanaume akimtumia mpenzi wangu zinazoashiria alikuwa akichepuka naye. Jumbe hizo zilikuwa zinamsifu jinsi walivyokutana wakafanya.

Lengo la kuomba msaada wenu ni baada ya kumwambia aenda kwao tukayaongee huko ila kakataa katukatu, na kusema haenda tena kwa hasira.

Kiukweli hamu na yeye imeisha! Naombeni ushauri wenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili swali ni la mwanaume au mvulana?????

mwanaume mke kakusaliti,yuko kwako,huna hamu naye,anakataa kutoka tena kwa hasira as if wewe ndo mwenye makosa

na bado unaomba ushauri nini cha kufanya???????????
 
Umekosea kidogo kuto funga ndoa...si jambo zurii...ila kwa hili jaribu kuyaweka sawa ataa ivyoo hisia nazoo hazikawwiii kuondoka hasaa kwa kuthibitisha mkeo anachepuka,,,,,ikiwezekana zaidii ooaa mwanamke mwengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa kugongewa, ila hapo lazima uonyeshe wewe ni mwanaume, hawezi kukuzidi ujanja na ukumbuke, dhambi ya usaliti ni kama kula nyama ya mtu, ukishaionja tu, hutoicha kamwe
hakika!
 
jipeni muda ,.. chating si hakitoshelezi kuwa kigezo cha kumwambia nenda kwao ,,, na kama ulishawahi mcheat any way..
 
Umekosea kidogo kuto funga ndoa...si jambo zurii...ila kwa hili jaribu kuyaweka sawa ataa ivyoo hisia nazoo hazikawwiii kuondoka hasaa kwa kuthibitisha mkeo anachepuka,,,,,ikiwezekana zaidii ooaa mwanamke mwengine

Sent using Jamii Forums mobile app
halafu huyo dada awe single mother... mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wanaume wabinafsi kama nini
 
hili swali ni la mwanaume au mvulana?????

mwanaume mke kakusaliti,yuko kwako,huna hamu naye,anakataa kutoka tena kwa hasira as if wewe ndo mwenye makosa

na bado unaomba ushauri nini cha kufanya???????????
Ni swali la mwanaume wa Dar mkuu hadi mkoa wa pwani huko sio mvulana
 
hili swali ni la mwanaume au mvulana?????

mwanaume mke kakusaliti,yuko kwako,huna hamu naye,anakataa kutoka tena kwa hasira as if wewe ndo mwenye makosa

na bado unaomba ushauri nini cha kufanya???????????

Ndo umshauri sasa sio ureparepa tu apa, toa ushauri umsaidie,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom