Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,710
- 10,234
Ningekuwa mm saiz wamgekuwa washanipa na kesi ya tl kwa jinsi ambavo ngemfanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfyuuu mwenyewe ......sasa wewe unaona kuchepuka nisahih??? Yaan uchepuke ujulikane ,alafu ukatae kwenda kwenu ??
Mkuuu ,, serious ,,mwanamke anahitaji MANHOOD. hakikisha kwanza ufanye haya,, km unaamua kumrudisha kwao mrudishe ndo mtayaongea hukoooo.Nashukuruni wote kwa ushauri. Nimeona niweka message ambazo zimethibitisha alichepukaView attachment 584904
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kwani alioa malaika?Mfyuuu mwenyewe ......sasa wewe unaona kuchepuka nisahih??? Yaan uchepuke ujulikane ,alafu ukatae kwenda kwenu ??
Mfano nimegoma siendi labda uniue utanifanyaje mfano MTU mzima mieMkuuu ,, serious ,,mwanamke anahitaji MANHOOD. hakikisha kwanza ufanye haya,, km unaamua kumrudisha kwao mrudishe ndo mtayaongea hukoooo.
Km unaaamua kutulia ,, Basi tulia,,usimwongeleshe ,,wala usishee naye kitu chochote ,,mpaka pale utakapoona kaumia kweli kweli .....lkn kwaiyo yako naye anakujibu "" SIENDI "" MAMA WEEEEEEEEE......IYO NYUMBA YAKE ???? ANAKULISHA ??? ANAMCHANGO GANI NAWW ????.....
DUUUHHHH EEEHHHH MBIGU NISAMEHE MIMI MWANAMME WA KANDA YA ZIWA.......nyie wadalisalama ngoja niwaache.
Am sorry miss chaga ..ila nahisi bado hujaolewa ,,km umeolewa unachepuka ,,nakm bado hujachepuka Basi upo ktk process zakuchepuka na unataman .
Wewe umekaa na mtoto wa watu bila kuhalalisha uhusiano halaf leo wataka umhukumu mwenzako kwa kukuchapia? Mi naona hamna tofauti na huyo mchepuko wake na usipoangalia atachumbiwa akiwa hapo hapo kwakoHabari wanajamvi,
Nimeishi ya mwanamke kwa miaka mitatu na tuna mtoto mmoja. Ila hajufunga ndoa. Jana nimekuta jumbe za mapenzi za mwanaume akimtumia mpenzi wangu zinazoashiria alikuwa akichepuka naye. Jumbe hizo zilikuwa zinamsifu jinsi walivyokutana wakafanya.
Lengo la kuomba msaada wenu ni baada ya kumwambia aenda kwao tukayaongee huko ila kakataa katukatu, na kusema haenda tena kwa hasira.
Kiukweli hamu na yeye imeisha! Naombeni ushauri wenu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ilo swali unamuuliza mwanamme wa mkoa gan????? Mimi hapa kweli ??????????????Mfano nimegoma siendi labda uniue utanifanyaje mfano MTU mzima mie
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Ukinipiga napiga ukunga watu wanakuja utapelekwa polisi me nabakiYaan ilo swali unamuuliza mwanamme wa mkoa gan????? Mimi hapa kweli ??????????????
Embu acha masiala ,,au ilo niswali ukilenga wanaume wa dar na pwani ?????? Daahhhhhhh nashindwa hata nikujibu vipi ..
Apo sinanjia sijui cha plan A au B ....nikipigo tu ndo kitakuondoa ..Jeuri hula kiburi .
mmmhhhhhhhh miss,,, unamifurahisha .....Mimi ngoja nikupe H/work,, tafuta niwanaume gan tanzania ,,ugonv wao huwa sio polis wala majiran wote hawawezi kuingilia .....ukishajua hilo ..Basi kelele zako ataziogopa mwanaume wa Dar maana ndio wanaogopa polis nando wanaogopa majirani ...Ukinipiga napiga ukunga watu wanakuja utapelekwa polisi me nabaki
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Kwanza nikupe pole,Nashukuruni wote kwa ushauri. Nimeona niweka message ambazo zimethibitisha alichepukaView attachment 584904
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu huyo dada awe single mother... mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wanaume wabinafsi kama nini
Kweli kabisa mkuu. Wanaume wasio na misimamo huwa na shida sana ktk mahusiano.Wakina Mama wengi hupenda sana kutujaribu wanaume kujua udhaufu wetu upo wapi na pindi akishajua udhaifu wako upo sehemu fulani...Utateseka maisha yako yote....Epuka mwanamke ajue huna ujasiri katika kufanya maamuzi yako utateseka sana...
Yawezekana mkuu maanake sikutarajia maneno kama haya yamtoke mwanaume anayejielewa tena heading imeanza na msaada kwa maana ya kwamba kashindwa kabisa kupata utatuzi aisee wanaume are perishing.Ni swali la mwanaume wa Dar mkuu hadi mkoa wa pwani huko sio mvulana