Msaada: All Documents converted to VLC

kingsniper

Member
Oct 1, 2016
34
21
Naombeni msaada wana JF coz file zangu pamoja na documents zote kwenye loptop yangu zimekua converted to VLC na hata ukiforce kwenda word or PDF hazifunguki..please Naombeni msaada.
20190610_212156.jpg
 
Anza na format moja moja....type ya Doc...chagua pale open with..then chagua microsoft word alafu set microsoft word as a default program...then nenda za pdf...open with Adobe? Then Ppt open with Microsoft PowerPoint. ..then...xls...choose Microsoft Excel. ..kama una knowledge ya computer utaweza kusolve kwa haya maelezo....
 
Anza na format moja moja....type ya Doc...chagua pale open with..then chagua microsoft word alafu set microsoft word as a default program...then nenda za pdf...open with Adobe? Then Ppt open with Microsoft PowerPoint. ..then...xls...choose Microsoft Excel. ..kama una knowledge ya computer utaweza kusolve kwa haya maelezo....
Ahsante ngoja nijitahidi
 
Ni issue ndogo ya file association na default program ya kufungulia file.

>Go to file
>right click
>choose open with
>chagua office app kama ni excel file chagua open with excel, then utaset default kua excel ifungue mafaili yite ya aina hiyo..
 
Ni issue ndogo ya file association na default program ya kufungulia file.

>Go to file
>right click
>choose open with
>chagua office app kama ni excel file chagua open with excel, then utaset default kua excel ifungue mafaili yite ya aina hiyo..
Okay nimekuelewa mkuu
 
Ahsante..nilisha fanya hivyo but bado shida ipo pale pale
Umesoma vizuri hiyo notepad? Mbona maelezo yanajitosheleza au haujui kiingereza? Kiufupi wajanja wamepita na file zako kwahiyo inabidi uwalipe ili wakupe key ya kufungulia files zako.
 
Naombeni msaada wana JF coz file zangu pamoja na documents zote kwenye loptop yangu zimekua converted to VLC na hata ukiforce kwenda word or PDF hazifunguki..please Naombeni msaada.View attachment 1132185

I'm surprised in the Tech group humu no one knows of a ransomeware virus.

MAELEZO MAFUPI:
kingsniper kwa kifupi PC yako imeingiwa na aina ya kirusi wanaoitwa "Ransomeware virus", ambao huwa wanafunga mafaili yako yote na encryption na huwezi kuyapata mpaka walipe wakupe funguo za kufungulia. Ukisoma hayo maelezo hapo utaona unatakiwa kulipa dola za kimarekani 980.

USHAURI:
- Kamwe haishauriwi kuwalipa pesa sababu, moja, huna uhakika kama watakufungulia mafaili yako na mbili ukiwalipa unawaongezea motisha kufanya hivo vitendo zaidi.
- Usichomeke kifaa chochote cha USB au Hard disk katika hali kama hii maana ransomeware wengi huwa wanauwezo wa kufunga pia mafaili ya kwenye kifaa hicho na kujiweka ndani pia ukichomeka kwenye PC ingine wanaingia na kufunga huko pia.
- Mwisho kabisa hapo ni kufuta kila kitu. Weka OS upya na ufomat disc nzima. Umepoteza kila kitu. Kuna njia za kujaribu kupata mafaili yaliyofungwa ila ni mlolongo mrefu ambao nao una nafasi ndogo sana ya kufanikiwa. Hasa kama umeshazima PC na kuiwasha baada ya shambulio.
 
Naweza kukusaidia.

Sakinisha programu ya TeamViewer, kisha niite. Nita-connect nikurekebishie.
 
Back
Top Bottom