Msaada: Alivunja ungo akaona siku zake ila sasa hazioni

mdida

JF-Expert Member
Jul 14, 2011
1,607
772
Jirani yangu anaomba msaada kuhusu binti yake mwenye umri wa miaka 13.

Anasema alivunja ungo October mwaka jana, akaendelea kama kawaida mpaka January 5 tena akaona siku kama kawaida.

Baada ya hapo haoni tena mpaka sasa hivi napoandika hapa. Keshampima mimba hana na sasa hiyo hali inasababisha binti anamwuliza maswali mara kwa mara kwanini haoni siku zake.

Jamani Dr. na wanaJF mpeni msaada, je hii ni hali ya kawaida au?
 
Jirani yangu anaomba msaada kuhusu binti yake mwenye umri wa miaka 13. Anasema alivunja ungo October mwaka jana, akaendelea kama kawaida mpaka January 5 tena akaona siku kama kawaida. Baada ya hapo haoni tena mpaka sasa hivi napoandika hapa. Keshampima mimba hana na sasa hiyo hali inasababisha binti anamwuliza maswali mara kwa mara kwa nini haoni siku zake. Jamani Dr. na wanaJf mpeni msaada je hii ni hali ya kawaida au?
tuanzie hapa.
kwani umekwisha mpeleka hospitali na ukaonana na madaktari wa wanawake na wakakwambia nini?
 
tuanzie hapa.
kwani umekwisha mpeleka hospitali na ukaonana na madaktari wa wanawake na wakakwambia nini?
Hospital bado hajampeleka ila yeye anadai alimpima mimba tu, na hakuwa na mimba. so akaone aulizie je hali kama hii huwa inatokea au ni nini?
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi??

Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara.

Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi.

Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi?? Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara. Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi. Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa

Asante kwa tiba wacha tukajitibu
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi?? Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara. Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi. Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa
mmmmh ASANTE KWA ushauri nitamwambia
 
Hospital bado hajampeleka ila yeye anadai alimpima mimba tu, na hakuwa na mimba. so akaone aulizie je hali kama hii huwa inatokea au ni nini?
inaweza kuwa ni tatizo la homoni lakini ni vema aanzie hospitali tena sio vidispensari
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi?? Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara. Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi. Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa
Duuuh hii njia nomaaa
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi?? Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara. Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi. Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa
Duh Asanteee
 
Atulize mzuka,
Weye ulipoziona za kwako ziliendelea vyema? Atakapo ziona mbona atakuja omba msaada hapa hapa kuwa hazikomi?? Wanawake mbona huwa hamkui?? Mambo madogo tu ka haya mnashindwa kuwafunda binti zenyu??
Ni hivi; Mnusishe shati la kakake/babake kwenye makwapa mara kwa mara. Huu sio uchawi bali ndicho humsaidia mama kupata siku kwa wakati. Sio dawa wala hirizi. Harufu ya kwapa la mwanamume ni dawa tosha kwa mwanamke kupata siku regular. Jaribu uone uje kutupa mrejesho hapa
Mangatara shule bila ada

Mleta uzi usipuuze
Aliesoma ajifunze kitu

Mrejesho ni bonge la faida kwa wengine.
 
Ni Hali ya kawaida hasa kwa hivi Vitoto vya Mwendokasi

Mpeleke Hospitali sio kwa Wachina maana wale ni Wahuni sana.

Hospital zipo dawa za ku regulate hiyo hali ambayo Mara nyingi ni tatizo la hormones au la kisaikolojia
 
Ni Hali ya kawaida hasa kwa hivi Vitoto vya Mwendokasi

Mpeleke Hospitali sio kwa Wachina maana wale ni Wahuni sana.

Hospital zipo dawa za ku regulate hiyo hali ambayo Mara nyingi ni tatizo la hormones au la kisaikolojia
Thanks for your advice mkuu.
 
Ni Hali ya kawaida hasa kwa hivi Vitoto vya Mwendokasi

Mpeleke Hospitali sio kwa Wachina maana wale ni Wahuni sana.

Hospital zipo dawa za ku regulate hiyo hali ambayo Mara nyingi ni tatizo la hormones au la kisaikolojia
Atapelekwa mkuu maana mtoto anauliza ni kwanini na anapata mawazo sana.
 
Hospital bado hajampeleka ila yeye anadai alimpima mimba tu, na hakuwa na mimba. so akaone aulizie je hali kama hii huwa inatokea au ni nini?
Wala asiwaze sana hyo hyo ni kawaida na hutokea sana, hvyo kikubwa ampeleke hospital atapata ushauribau hata matibabu
 
Hiyo ni kawaida kwa wasichana wadogo wanapoanza kuona siku zao..Tena inaweza kufika hata miezi 6 bila kuona siku zake. Ni hali ya kawaida kabisa na utokea kwa wasichana wengi..ila kwa uhakika zaidi anaweza kwenda kwa Dr.
 
Back
Top Bottom