Msaada: Agency za wafanyakazi wa majumbani

Msaada: Agency za wafanyakazi wa majumbani

Joined
Nov 12, 2013
Posts
29
Reaction score
16
Habari zenu wakuu, naombeni mnisaidie kunielekeza hizi agency zinazoleta wafanyakazi wa ndani( mabeki tatu) zipo pande zipi kwa hapa Dar?

Ahsanteni, natanguliza shukrani.
 
Mie mwenyewe nina shida sana na dada wa nyumbani kwakweli.natumai watakuja na watatusaidia tu tutafanikiwa kuzipata.
 
0713373746 huyu yupo sinza, 0718806531 huyu yupo mwananyamala. Ukipata bahati unaweza pata mzuri.
 
0713373746 huyu yupo sinza, 0718806531 huyu yupo mwananyamala. Ukipata bahati unaweza pata mzuri.

Mkuu, hawa jamaa wapo registered au ni watu binafsi tu? Manake kuna ishu ya uaminifu na usalama. Mtu unaweza ukatoka kazini ukakuta Nyumba nyeupe!! Af huna pakwenda kushtaki.
 
Habari zenu wakuu, naombeni mnisaidie kunielekeza hizi agency zinazoleta wafanyakazi wa ndani( mabeki tatu) zipo pande zipi kwa hapa Dar?

Ahsanteni, natanguliza shukrani.

Ukifanikiwa kumpata kutoka ktk hizo agency,usisahau kutenga laki moja kila mwisho wa mwezi Kwa ajili take.
 
Mkuu, hawa jamaa wapo registered au ni watu binafsi tu? Manake kuna ishu ya uaminifu na usalama. Mtu unaweza ukatoka kazini ukakuta Nyumba nyeupe!! Af huna pakwenda kushtaki.
Sina uhakika, ila ukifika ukapata binti kuna mkataba mnajaza, wewe, binti na huyo wakala, pia anatakiwa kuwa na wadhamini wawili ambapo wewe itabidi uwajue wanapokaa ilikujiridhisha. Pia ukipata nakala ya kitambulisho chake.
 
Mie mwenyewe nina shida sana na dada wa nyumbani kwakweli.natumai watakuja na watatusaidia tu tutafanikiwa kuzipata.

siwashauri hata kidogo niamini mimi, wanachokifanya wanakwambia utoe nauli kumkomboaj binti na pesa ya ofisi, ukishatoa yatatokea mojawapo kati ya haya 1,utakuwa unalisha na wale madalali bila kujua 2, binti hatamaliza mwezi kwa ukorofi uvivu au ujeuri, wanakuwa wamepanga na wale watu 3, kuibiwa vitu vikubwa au vidogo 4, nyumba kugeuzwa danguro, mara nyingi hao mahg wapo tu hapa mjini wanaishi na hao madalali si wafanyakazi bali ni wezi na matapeli wakubwa. wakifanikiwa kumaliza mwezi shukuru Mungu kwakuwa mara nyingi huhamishwa ofisi ili wapate kipato
 
siwashauri hata kidogo niamini mimi, wanachokifanya wanakwambia utoe nauli kumkomboaj binti na pesa ya ofisi, ukishatoa yatatokea mojawapo kati ya haya 1,utakuwa unalisha na wale madalali bila kujua 2, binti hatamaliza mwezi kwa ukorofi uvivu au ujeuri, wanakuwa wamepanga na wale watu 3, kuibiwa vitu vikubwa au vidogo 4, nyumba kugeuzwa danguro, mara nyingi hao mahg wapo tu hapa mjini wanaishi na hao madalali si wafanyakazi bali ni wezi na matapeli wakubwa. wakifanikiwa kumaliza mwezi shukuru Mungu kwakuwa mara nyingi huhamishwa ofisi ili wapate kipato
ahsante kwa kutuelimisha.cjui hata ntafanyaje mana msichana ni muhimu
 
siwashauri hata kidogo niamini mimi, wanachokifanya wanakwambia utoe nauli kumkomboaj binti na pesa ya ofisi, ukishatoa yatatokea mojawapo kati ya haya 1,utakuwa unalisha na wale madalali bila kujua 2, binti hatamaliza mwezi kwa ukorofi uvivu au ujeuri, wanakuwa wamepanga na wale watu 3, kuibiwa vitu vikubwa au vidogo 4, nyumba kugeuzwa danguro, mara nyingi hao mahg wapo tu hapa mjini wanaishi na hao madalali si wafanyakazi bali ni wezi na matapeli wakubwa. wakifanikiwa kumaliza mwezi shukuru Mungu kwakuwa mara nyingi huhamishwa ofisi ili wapate kipato

Asante kwa ushauri mpendwa, let me see the other way. Ila kwa kweli nimekwama.
 
Tunawadharau ma hg bure lkn ndio kazi pekee nchini ambayo mwajiri anatafuta mfanyakazi.hg huwa ha apply na anajua kuna wengi tu wanamhitaji huko nje. Ni watu wa kula top layer. kusikiliza mziki mworoto. kuangalia sinema masaa nane. kutembea na mume wa bosi. HAKUNA MTU MWINGINE ANAETEMBEA NA MUME WA BOSI ZAIDI YA HG.
 
Back
Top Bottom