mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 3,797
- 4,316
Miaka miwil iliyopita nilienda kukopa benki fulani hapa Tanzania, na wakatuma deni kwa Afisa Utumishi na deni lilikuwa ni 12M, kilichotokea Afisa utumishi akakosea akaandika bilioni 1.2!
Cha ajabu baada ya kumaliza mkopo benki ikanipa stop deduction nimpelekee afisa utumishi ili aondoe deni kwenye mfumo maana nimeshamaliza, cha ajabu Afisa Utumishi huyohuyo anakataa anasema ni kazi ya benki, narudi benki nawaeleza wanasema wao hawawezi maana wanaohusika ni Halmashauri!
Nimejaribu kuwasilisha hiyo barua kwa Mkurugenzi ila hakuna lililofanyiwa kazi mwezi huu wameendelea kukata, hapa niko njia panda.
Cha ajabu baada ya kumaliza mkopo benki ikanipa stop deduction nimpelekee afisa utumishi ili aondoe deni kwenye mfumo maana nimeshamaliza, cha ajabu Afisa Utumishi huyohuyo anakataa anasema ni kazi ya benki, narudi benki nawaeleza wanasema wao hawawezi maana wanaohusika ni Halmashauri!
Nimejaribu kuwasilisha hiyo barua kwa Mkurugenzi ila hakuna lililofanyiwa kazi mwezi huu wameendelea kukata, hapa niko njia panda.