mwamirukokerwa
Member
- Oct 25, 2018
- 12
- 1
habari wanajf naomba msaada wa ada. nimepata nafasi ya kusoma university of dar es salaam COICT, Diploma in Computer science.
ada ni milioni mbili kwa miaka miwili yote, but semister ya kwanza inahitajika laki 5 na elfu tano ya kitambulisho
accomodation na other fees ni kama
books and stationary 150,000 x2
meals 952000x2
accommodation 595000x2
IPT expenses 600000x2
transport IPT 40000x2
total cost mpaka namaliza chuo ni shilingi 6679000
msaada wa ada ninaoomba ntaurudisha baada ya kuhitimu masomo na kupata kazi kwa kulipia kidogo dogo kwa kuongezea riba ya asilimia ishirini
yaani mwisho ntarudisha 8014800 tshs
kama unataka kujiridhisha zaidi nipo na admission letter tayari,na msaada wa hali yoyote ile unakaribishwa
malengo yangu ni kugraduate nikiwa competent kwenye computer programming
ntashukuru endapo lengo langu litakubaliwa
mawasiliano 0628 041 901
ada ni milioni mbili kwa miaka miwili yote, but semister ya kwanza inahitajika laki 5 na elfu tano ya kitambulisho
accomodation na other fees ni kama
books and stationary 150,000 x2
meals 952000x2
accommodation 595000x2
IPT expenses 600000x2
transport IPT 40000x2
total cost mpaka namaliza chuo ni shilingi 6679000
msaada wa ada ninaoomba ntaurudisha baada ya kuhitimu masomo na kupata kazi kwa kulipia kidogo dogo kwa kuongezea riba ya asilimia ishirini
yaani mwisho ntarudisha 8014800 tshs
kama unataka kujiridhisha zaidi nipo na admission letter tayari,na msaada wa hali yoyote ile unakaribishwa
malengo yangu ni kugraduate nikiwa competent kwenye computer programming
ntashukuru endapo lengo langu litakubaliwa
mawasiliano 0628 041 901