Wakuchakachua
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 346
- 9
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto