Wakuchakachua
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 346
- 9
- Thread starter
- #21
wewe ni wakuchakachua au wakuchakachuliwa?
in-between...
wewe ni wakuchakachua au wakuchakachuliwa?
Keki ya kumshukuru???? wanaume wetu w ibongo wengi hawajazoez mambo kama hayo na zawadi ndio kabisaaaa hivo nenda nae taratibu huku ukimwambia hupendi nini na unapenda nini mwisho kama anakupenda atabadilika
Tehetehetehe hili nalo neno safinaHapo kwenye keki ya kumshukuru, labda angempelekea bia, anywe mpaka atambae, halafu kuanzia hapo ndo amshauri kuwa bia si bora kwa afya yake.
in-between...
Gaga siku nyingine unaongeaga point!!!
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
Maana ya kumpenda mtu ni kumkubali kama alivyo,kuanza kujaji tabia zake ni kuonesha upendo wako ulivyo wa masharti
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
Hapo kwenye keki ya kumshukuru, labda angempelekea bia, anywe mpaka atambae, halafu kuanzia hapo ndo amshauri kuwa bia si bora kwa afya yake.
Kipele au?
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
we si useme tu kama ni wewe??
kama kwa mda mrefu anamfuatilia inamaana alikuwa hajua (ulikuwa hujui) kama huyo boyfriend wako ni mnywaji????
wewe ukitoa unategemea kurejezewa???? jifunze kutenda wema uende zako usingoje shukrani!! Aalaaah usiniudhi bure !!
Kuna kaka mmoja alikuwa akimfuatilia rafiki yangu (wote wanafanya kazi) ni kwa muda mrefu atlast dada akaamua kuanzisha mahusiano nae kama wiki tatu zimepita.
Tatizo alilonielezea ni kuwa kaka kila akitoka ofisini lazima apitie bar na kunywa (monday to friday weekend ndo mziki na bar ni time table) kwa binafis yake hapendi hiyo tabia kwani hakuna muda wa yeye kukaaa na BF na kupanga the wayfoward to their life/relation(kama mnavyojua earlystage in relation zinavyokuwa) kwa kuwa akirudi kalewa huku day time ni kaz hawana muda wa kuongea.
Kingine at the first week baada ya kukubali uhusiano aliandaa keki ya kumshukuru huyu mpenzi wake kwa kumpenda ie "just to say thanks for loving me" but huyu kaka hajamlete zawadi yoyote ile so anajisikia vibaya mno
Amesha mueleza kuwa hizo bia za daily sio nzuri hata kwa afya yake ila ameendelea kunywa tu.
Anaomba ushauri je amuache au aendelee maana kama ktk stage hiyo na kaka ndo anabehave hivyo ni bora kumuacha mapema kuepusha maumivu ya moyo wake au mnashauri nini ma great thinker????
ILA anampenda tu na wish yake ajekuwa baba watoto
Maana ya kumpenda mtu ni kumkubali kama alivyo,kuanza kujaji tabia zake ni kuonesha upendo wako ulivyo wa masharti