Mkuu nakubali na wewe!! Kanali, Major, Captain, ...... Wote hawa katika JWTZ hakuna angekuwa zaidi ya Privite!! Inaonyesha jinsi hawamajangili walivyokuwa greedy!!
Hawa m23 wangeweza kupelekewa hata mgambo wa jiji tu au JKT ...warembo wenyewe ndo hawa wapiganaji mweeee!kumbe watizi wanajisifu bure tu, na wanapodai wamewachakaza m23 kumbe wanapigana na mademu msituni. goshhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh:confused2:.
Major..Captain..yani wanajiita tu ma vyeo wasiyokuwa nayo wakati wako plain begani! Ni sawa na kina prf jay wetu huku bongo!!!
Natamani sana kuona pedi za wanajeshi, najua zitakuwa za kitofauti kutokana na ugumu wa mazingira yao ya kazi[/QUOTE
Ukishaona!!! ikusaidie nini
MS Kalashnikov | Female fighters in Congolese rebel groups..In contemporary African wars women continue to play a variety of crucial roles, and yet they remain invisible to the world.--![]()
Colonel Fanette Umuraza is pictured at M23 headquarters in northern Kivu. A 32-year-old with a university degree in political science, she vehemently champions the ideology of M23's military chief Sultani Makenga, having worked her way up to serve as his right-hand woman.
![]()
M23 Major Fanette Rwagati, dancing with Local women in Kibumba
![]()
M23 Major Fanette Rwagati
![]()
Colonel Fanette Umuraza, 32 years old. Fanette joined M23 having previously fought in the CNDP, M23s predecessor. She says she chose these rebel groups because she shares their ideology. M23 press conference following fighting over internal divisions. Kibumba, (territory controlled by rebel group M23), North Kivu, DRC
![]()
Umuraza says she wants to free the women of Congo from their role as victims. The fact that rebel groups have been repeatedly accused of committing rapes seems contradictory, though.
@Boflo Bujibuji Safari_ni_Safari Preta saudari watu8 Ndibalema Paloma Chimunguru MadameX Kongosho MziziMkavu sakapal donlucchese farkhina Ndahani Erickb52 Baba V Wilbert1974 Kaunga Blaine Elli Arushaone Makanyaga omujubi mwaJ stineriga Bujibuji Heaven on Earth Amavubi mimi49 afrodenzi Sikonge Elizabeth Dominic Mentor King'asti Abdulhalim Bigirita C6 marejesho englibertm Money Stunna Ab-Titchaz Doppelganger
ha ha ha ha. :madgrin:Hawa hawahitaji JWTZ, ingefaa RED BRIGADE na GREEN GUARD chini ya Captain Mwigulu Nchemba waende wakawasambaratishe huko misituni.
Hata mimi nimeshangaa sana kila mdada anajinasibu ni Maj, mara Lt, mara Colonel, haiwezi kuwa rahisi hivyo vyeo vya kujipachika tu!Major..Captain..yani wanajiita tu ma vyeo wasiyokuwa nayo wakati wako plain begani! Ni sawa na kina prf jay wetu huku bongo!!!
sasas huyu unaanzaje kutungoza maana akichomoa hicho ki- "Aden Rage" chake hapo kiunoni ndio mwisho wa tongozo......sipati picha sasa eti ndio umemvua nguo huyo utajiona shujaa kishenzi. Binafsi huwa napenda sana kutembea na Mjeshi wa Traffic wa Kike yaani najiskia ujiko sana kwamba pamoja na mavyeo yake yote hayo nimemchojoa
Sijasema kuwa nataka msaadaNatamani sana kuona pedi za wanajeshi, najua zitakuwa za kitofauti kutokana na ugumu wa mazingira yao ya kazi[/QUOTE
Ukishaona!!! ikusaidie nini