Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,127
- 829,023
Angalizo: Sifundishi watu ndumba kila mtu ana uhuru wake na wote tu watu wazima ninachofanya ni kushiriki ninachokifahamu.
Mapenzi ni kitu kinachoendesha dunia kwenye ulimwengu wa roho na hisia. Mtu asiye na mapenzi ni kama zimwi litishalo si mnyenyekevu hana huruma hana utu hana hisia ni katili na mwenye rohombaya.
Kuna wakati wapendwa wetu tunaowapenda sana na kuwathamini hutekwa na kuchukuliwa na wengine kwa njia za kishetani huyu waweza mrudisha kwenye himaya yako.
Kivipi?Kama una hakika umeporwa Chanda chako kwa ndumba fanya hiviTafuta mafuta ya mzeituni mzizi au jani la mkafiri
i
Unyoya wa tausi au chiriku chumvi ya mabonge kitambaa cha cotton cheusi na chekundu uzi mweusi au mwekundu chungu kidogo picha nguo au chochote cha umpendae.
Changanya vyote pamoja kisha pondaponda pamoja na chungu chake funga kwenye vitambaa cheusi na chekundu kwa kamba na pini katupe mtoni kwenye maji ya alfajiri huku ukinuizia.
Mapenzi ni kitu kinachoendesha dunia kwenye ulimwengu wa roho na hisia. Mtu asiye na mapenzi ni kama zimwi litishalo si mnyenyekevu hana huruma hana utu hana hisia ni katili na mwenye rohombaya.
Kuna wakati wapendwa wetu tunaowapenda sana na kuwathamini hutekwa na kuchukuliwa na wengine kwa njia za kishetani huyu waweza mrudisha kwenye himaya yako.
Kivipi?Kama una hakika umeporwa Chanda chako kwa ndumba fanya hiviTafuta mafuta ya mzeituni mzizi au jani la mkafiri
i
Unyoya wa tausi au chiriku chumvi ya mabonge kitambaa cha cotton cheusi na chekundu uzi mweusi au mwekundu chungu kidogo picha nguo au chochote cha umpendae.
Changanya vyote pamoja kisha pondaponda pamoja na chungu chake funga kwenye vitambaa cheusi na chekundu kwa kamba na pini katupe mtoni kwenye maji ya alfajiri huku ukinuizia.