Mr.mzumbe
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,014
- 957
As-salaam alykum wanajf,
habari nilizopata kutoka kwa mtu mmoja jina lake kwenye kikapu ni kwamba Kikwete anatarajiwa kumtangaza Prof.MAJIMAREFU mbunge wa tanga kuwa mrithi wa Dr.Mponda. Ebu tupeni CV ya prof.majimarefu kwa uchache. Hii ndio bongo bwana,kila kitu kinawezekana.
Waswahili tunasema "HAKUNA CHUO CHA UWAZIRI".
habari nilizopata kutoka kwa mtu mmoja jina lake kwenye kikapu ni kwamba Kikwete anatarajiwa kumtangaza Prof.MAJIMAREFU mbunge wa tanga kuwa mrithi wa Dr.Mponda. Ebu tupeni CV ya prof.majimarefu kwa uchache. Hii ndio bongo bwana,kila kitu kinawezekana.
Waswahili tunasema "HAKUNA CHUO CHA UWAZIRI".