Mrisho nyuma!

Huko alkokwenda kulala kuanzia Ijumaa hadi Jumapili si wampe msaada??? Pana ogopa VVU wewe unatafuta kifo, ukweli si umeisha pewa unangoja nini sepa!!!!
 

naunga mkono hoja!!!!!!
 

Kijana unacheza na moto, Mungu kashakuonyesha huyo hakufai bado unasubiri nini wake up brother!Huyo huenda ananyenyekea kwa sababu unawasaidia pressure ya mama yake ndiyo imemtuma akafanye maovu?Mpige chini hata kama mama yake ataondoka kwa pressure atapata fundisho ktk maisha yake.Kama kweli alikuwa anakupenda asingekusaliti kamwe!Unachokifanya ni sawa na kushika mkaa wa moto kwenye kiganja halafu unasema mkaa haujambo automatically utaungua vibaya mno.
 

mmmh pabaya hapo...............!
Yaani maujinga mengine hayavumiliki............!
Na kuna wanawake wanaleta wanaume ndani pia..........!
Eti siku hizi kuna sijui "WAPAKA KUCHA RANGI"
Ukiondoka kwenda kazini mpaka kucha anatengewa chai na tunda anapewa....!
Ukute kitu kama hiyo si balaaa hapo, halafu umsamehe hivi hivi tu ...no.....no....no....no.......:nono:
 
Na sio mara moja ni kila ijumaa anatoka

Halafu ukute jamaa kamla na mwandu............. dah...!:frusty:
Unajua siku hizi watu mafirauni kweli yanawala na mwandu.............!:frusty:
 
kaka fikiria ur life without her....close the deal..
 
Mpe second chance nadhani kwa jinsi alivyochanganikiwa hatarudia tena, usikute alienda music na wakalala kwa rafiki.
Ujana maji ya moto kiongozi Sinai !
 
Last edited by a moderator:
Throuh my experience nimeshashuhudia mifano kama 4 au 5 ya mwanaume kumsomesha mwanamke mpaka anamaliza level ya chuo na kilichowatokea hao watu ni kuja kutemwa na hao waliowasomesha,na mmoja ni rafiki yangu wa karibu sana ambaye ameachana na huyo demu baada ya kumsomesha na kufunga nae ndoa iliodumu kwa mwaka mmoja,alimkandia kuwa hawezi kuishi na mtu mzima,anahitaji kijana mwenzie na mbaya zaidi alimwambia kwani nilikulazimisha kunisomesha,hii kitu inaumiza sana,najua maumivu unayoyapata kwani rafiki yangu aliamua kujiingiza kwenye pombe za kupindukia ili kufuta mawazo tukafanikiwa kumuokoa ila ameapa hataoa wala kuja kuishi na mwanamke tena katika maisha yake,so ma fella JF member it's upon you,kumsamehe au kumshiti nilichokuwa nakupachapo juu ni angalizo tu.
 
Mimi sina ushauri mwingine zaidi ya niliyokupa jana, ni kwamba piga chini huyo mtu.Ila uamzi wa mwisho unao wewe
 

Hakika umesema dada. Heri mkosaji ambae msamaha kuliko simba mwenda pole au chui katika vazi la kondoo!
 
Siku zote majuto huwa ni mjukuu, kama unaona huyo hataweza kukufaa katika kusonga mbele kimaisha, achana naye
 
sometimea uwa nashangaa kama mtu aliona wewe humtoshi sasa kwanini ukitaka kumpa nafasi ya kujinafasi kwanini uwa analia anachanganyikiwa. Eti rafiki zake walimdanganya sasa nani kamfunua macho asidanganywe?
Chagua moja kama bado wampenda mpe muda wa kujirekebisha yani msamehe nusu nusu huku ukimake follow up
 

Nalojiuliza ni je huyo binti analia kwa kuwa anajutia aliyofanya au analia kwa kuwa kafumaniwa, au pengine analia kwa kuwa atakosa support toka kwa jamaa.
Kama analia kwa usaliti kwani wakati anafanya huo usaliti hakujua maana kama hakujua kuwa analotenda si sawa asingedanganya jamaa alipompigia simu kumuuliza yuko wapi kuwa yuko hostel.
Tatizo madada zetu wanakuwa na wanaume wa ukweli kwa sababu ya kupata support tu pembeni wanakuwa na visharobaro vya kuuza navyo sura club na kutumiana vi msg whatsapp.

Braza ukitaka muua nyani fumba macho lenga shingo ukimtazama unaweza muonea huruma.
 

umewahi kupna kweli kweli.
btw nisamehe...................
 
hakya mama umepona vizuri wewe hadi wanipa raha!!!!!!!!!
 
umewahi kupna kweli kweli.
btw nisamehe...................

Hahaha mwanaume kazini hata kama una maumivu unajikaza ili hata ukifa the world will know that a single man stood against many and before the sun sets i will mend my broken heart
 
Ndiyo mademu wengi walivyo, kameishatumika na kupigwa chini ndo kanakukumbuka..! Wee kamwaga mavi tu hivi vitoto njaa njaa kama hivi mimi nina uzoefu navyo..!

ha ha ha,basi una uzoefu sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…