MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 357
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
halafu kasema kwamba walipokuwa wameelemewa na mtibwa walianza kuDEFENCE. si angesema tu kwamba walianza KULINDA GOLI? chezea kimombo wewe!
Umeelewa thread? Mtumwa wa akili muanzisha thread au Ngassa anayeacha kutumia kiswahili lugha anayoifahamu vyema na kubananga lugha ya watu?
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
Na kweli. Halafu eti hawa ndo master wetu!!:heh:
Na ndicho kilichomkuta Ngasa, si kosa lake sana ni kosa la kimfumo wa nchi nzima ambao umefanya taifa liwe la watu washamba na malimbuken wa lugha ya kiingereza.
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
ISHONDWAKUPAFOMANSINWENOMAZAIDIYAPDIDYWAPISMAllJRPdidy. Mwajumaaaaaa wbagaraaa weraaaaaaaaa wapiiiishyyyy
Ngasa kadai ameshindwa 'kuperformance' sababu sababu alikua anakatwa hela zote.
Sasa najiuliza kulikua na ulazima gani wa kutumia kiingereza?!
Afu mademu,iv kweli Ngasa angekua ka mimi tu mngemshobokea?!
you need prayers bro. kama in real life huwa unaandika hivi mwalimu wako alikua kipofu.
Tevez,Sanchez,Paulista na Ramires ni baadhi kati ya wachezaji wengi wanaongea kiingereza kibovu ila hakuna anaejali muhimu ujumbe umefika hata Ngasa kiingereza sio lugha ya kwanza sioni tatizo akifanya makosa.
Wakongo na wazungu wakikosea kiswahili tunaona kawaida tu duh sijui utumwa wa akili utatuacha lini,hongera kwake kwa kujaribu ipo siku ataimuda hiyo lugha hata kwa 50%.
HahaHahaaaHahaHahaaaaaaa weraaaweraaaa na PhD wakaitoaa mpwaakwamuandikii huuuhuuuuyou need prayers bro. kama in real life huwa unaandika hivi mwalimu wako alikua kipofu.
Wapo mabinti hawana masharti mengi utapata kila la kher
Na kweli. Halafu eti hawa ndo master wetu!!:heh: