Picha iko wapi MadameNdivyo alivyowadanganya?
Mwenzenu anavaa sendo! Akiona camera anavua anakaa peku
Nilimuonaga Boma kwa mkuu wa mkoa na Sendo zake hana habariiii
Boma ipiNdivyo alivyowadanganya?
Mwenzenu anavaa sendo! Akiona camera anavua anakaa peku
Nilimuonaga Boma kwa mkuu wa mkoa na Sendo zake hana habariiii
Huyu sio mara zote anakuwa peku. Kuna sehemu nyingi na nina shuhuda nazo amefika na viatu. Huyu ana sharti la kutovaa viatu on some days.Wewe fikiria utembeee mwaka mzima peku na kusafiri peku Nani anaweza Hilo
Mm najuwa ili upate kibali Kuna gharama za kulipia kibali hakiji hvhivi japo Kuna bahati pia
Ndivyo alivyowadanganya?
Mwenzenu anavaa sendo! Akiona camera anavua anakaa peku
Nilimuonaga Boma kwa mkuu wa mkoa na Sendo zake hana habariiii
Picha iko wapi Madame
Ilala, Dar es Salaaam..!🤸Boma ipi
Hadi ‘Magambuti’ anavaa.Kumbe ni muhuni tu
Huu mbinuko😎Ilala, Dar es Salaaam..!🤸