Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Hii inamuhusu Jakaya Kikwete! Walioko chini yake ndio wanaomungasha!ni kweli kabisa....mafumbo yanapokua mazito mno, panakua na udhaifu wa mwandishi japo amefanya kazi nzuri!
Lakini pia Shaaban Robert alikua na mafumbo mengi na mazito japo miongoni mwake, yaling'amuliwa na hadhira yake.
"Mjomba wewe si uliwapaka wanja ngoja wao wakupake pilipili afu kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga"
hapo kwenye RED nimeelewa kwamba, Kiongozi Mkuu amekua akiwalea lea watu fulani, ilhali watu hao si wema. Matokeo yake sasa wao huenda wakaja kumsababishia matatizo katika uongozi wake kiasi cha kumfanya kumwona adui, anayetaka kumharibia...kwa maana ya kombolela unapozinga unapaswa kumzuia adui asibutue!