ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,121
- 5,332
huyo mzee naye akili hana, mjinga kama wajinga wengine watafuta kiki.Halafu huyu mzee naye anatafuta kiki tu..
Kama diamond ni mdogo waka inamaanisha ana namba yake..kwa nini kitu sensitive hivi akipost insta badala ya kumcheki kwenye simu akamshauri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app