Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Dikteta angekuwa hai wala asingesema hayoHuyu hana Moral authority kusema haya. Ni juzi tu alikuwa anapiga mapambio
Dikteta angekuwa hai wala asingesema hayoHuyu hana Moral authority kusema haya. Ni juzi tu alikuwa anapiga mapambio
Mbona Hapi na Chalamila wamebaki? CCM ni ile ileAlikuwa na dharau sana maana hata mawaziri hakuwasikiliza,akina prof.Magembe.
ilikuwa ngumu sana kutoboa ndo maana hata sasa analia kuchezewa rafu na viongozi wa mkoa.
mungu wao anaoza vizurimungu wao akifufuka atoamini walivyomgeuka