waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda.
Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.
Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.
Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni pamoja ,Mpanda aliyekuwa katibu mkuu wa ccm mkoa wa Arusha, Ntibenda aliyekuwa Arusha,Daqaro aliyekuwa DC Arusha, Dkt Maulid Madeni aliyekuwa Ded jiji la Arusha pamoja na viongozi kibao ndani ya CCM, pamoja Shana aliyekuwa RPC Arusha.
Tabia ya Gambo anataka kuabudiwa na kutukuzwa kama aliyokuwa akiabudiwa na marehemu Shana aliyekuwa RPC Arusha,Joseph Masawe M/kiti wa CCM Wilaya ya Arusha. Tabia hii lazima ccm wajifunze kuchagua viongozi watakaowaunganisha wananchi na viongozi na sio kuwagawa.