Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 738
- 2,980
Pengine ndio u'great wenyewe huyu mwimba mapambio anamaanisha, great in a bad wayKilombero pale mvua ikiwa imenyesha ahahahhahah!.
Bora hapo Kilombero,
Telemka moshono stendi barabara inakata hapo kulia ina mashimo Kama mita mbili kina chake na yako katikati ya barabara,Kama mkuu wa mkoa hayaoni hayo au hayupo Arusha?.
Makusanyo yangekuwa chini ya halimashauri ya jiji tusingekuwa tunaona huu uchafu.
Sent using Jamii Forums mobile app