Ugoro mtupu, hakuna kitu hapoNimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.
Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.
Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Word and sense.Hahaha eti tumuunge mkono, huyo ni mteuliwa. Labda ungemwambia hayo maneno yule anayemteua.
Sisi tunamuungaje mkono?!
Tena ovyooo akiwa bado kijana gambo. Akizeeka kufikia umri wa wasira lazima awe MCHAWIMaoni na mtazamo wako viheshimiwe japo huyo ni miongoni mwa viongozi wa hovyo kuwahi kutokea
Mrisho Gambo ni Presidential materialNimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.
Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.
Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Apambanie viti maalumu yani ladies freeNimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.
Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.
Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Asante sana Mh. Gambo kwa maelezo yako hata mimi nakukubali sana!Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.
Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.
Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Hajitambui na haitambui vema Arusha. Labda atumie vitoa machozi ndiyo akimbie na mabox ya kura
Hayo ni maoni yake! Wengine pia mnanafasi ya kutoa maoni yenu kuhusu huyo bwana Gambo ! Hata kuanzisha nyuzi zenu kinzani ! Huo ndio uhuru wa kujieleza na sio kutaka JF moderators kudondosha nyuzi za watoa maoni mradi tu hazivunji kanuni na taratibu.
Haheshimu watu wenye itikadi tofauti. hafai
yule ni kijana kweli mimi namuona mzee tu kwa jinsi anavyoendesha mambo marehemu kingunge alikuwa anamzidi kwa mbali sanaHakika RC Gambo ni kiongozi anaeacha alama, Kijana aliewakilisha vijana vyema sana. Amegusa kwa uzur maisha ya wamama wengi, vijana wengi wazee na watoto Wa Arusha. Amerejesha amani mkoani Arusha. Hakika ni jembe na tupo nyuma yako
Hakika RC Gambo ni kiongoz
Kumsifu huyu kiumbe unatakiwa ujitoe kwanza ufahamu. Pesa anazokusanya kwa wafanyabiashara Mungu tu anayejua.
Umeanza kujisifia wewe mwenyewe. Kwani kuna madaraka gani makubwa ya kuteuliwa zaidi ya ukuu wa mkoa!!Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.
Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.
Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Loooh, Manyerere Jackton yupo? Kama kweli dunia inakwenda mbio sana!Kumsifu huyu kiumbe unatakiwa ujitoe kwanza ufahamu. Pesa anazokusanya kwa wafanyabiashara Mungu tu anayejua.
kwa maoni yangu...jamaa sio kiongozi mzuri sana ingawa ameonesha kuimarika kiuongozi tofauti na mwanzo ambapo nadhani alikuwa anamuiga Bashite
Sent using Jamii Forums mobile app