Mrisho Gambo ni Hazina kwa taifa

Mrisho Gambo ni Hazina kwa taifa

7son

Senior Member
Joined
May 24, 2012
Posts
177
Reaction score
36
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
 
Kajiandika mwenyewe senge sana huyu
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Naona umeamua kujipigia debe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Kila mtanzania ni hazina ya Taifa kwani yeye kafanya nini cha ajabu,labda uniambie ni hazina ya familia yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika RC Gambo ni kiongozi anaeacha alama, Kijana aliewakilisha vijana vyema sana. Amegusa kwa uzur maisha ya wamama wengi, vijana wengi wazee na watoto Wa Arusha. Amerejesha amani mkoani Arusha. Hakika ni jembe na tupo nyuma yako
3557 said:
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.
Hakika RC Gambo ni kiongoz
 
Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo.

Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi aliyeharibu kazi ya barabara utakubaliana na mimi kuwa ni kiongozi bora.

Tuendelee kumuunga mkono aendelee kuchapa kazi bila kuumiza watu kama anavyofanya.

Of all the people..huyu Mrisho Gambo RC Arusha...???Sikubaliani na huu upuuzi wako.
Gambo ni mmoja wa Watawala wa Mikoa(RCs) na Wilaya(DCs)wanao JIMWAMBAFY kwa maneno ya Mhe.Rais Jakaya Kikwete(rtd). Gambo ni mmoja wa RCs waliowekwa kimkakati katika maeneo yenye ngome za CHADEMA ili kuidhoofisha CHADEMA. Gambo amesuguana na Mhe. Lema(MB) Arusha Mjini mara kibao ili tu kuhakikisha CHADEMA inapotea.
Mrisho Gambo hana tofauti na kichaa na mvuta Bangi mwingine aliyeko hapo HAI Bwana Ole Sabaya anavyopambana na Mhe. Freeman Mbowe(MB-Hai)na Mwenyekiti CHADEMA(T).
Kama inatokea leo Utawala wa CCM unaondoka madarakani hawa jamaa ndo watakaokuwa wa kwanza kuikimbia nji kwenda Rwanda au Burundi kwa vibaraka wenzao...!!!
 
Back
Top Bottom