Kuapishwa na kushinda ni vitu viwili tofauti
Ndo maana kaambiwa aanze kuaga!Kwani 2020 alishinda?
Mmhhata km sijui siasaGambo atashinda kwa kishindo Arusha...Hakuna wa kumtoa kwenye ubunge
Bila kuingilia mambo yao ya ndani huko mkoani kwake, napenda sana michango yake Bungeni hasa ya kukuza Biashara ya wageniBuriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.
Time will tellGambo atashinda kwa kishindo Arusha...Hakuna wa kumtoa kwenye ubunge
Issue Ni kupata nomination ya chamaGambo atashinda kwa kishindo Arusha...Hakuna wa kumtoa kwenye ubunge
Yaani 2020 hadi Katambi aliapishwa Kuwa mbunge. Ilikuwa ni burudani kwa CCM.Kwani 2020 alishinda?
Kwani 2020 alishinda?
Nani wa kumshinda Gambo.?Mmhhata km sijui siasa
Huu ni uongo
HatareeeMsukuma wa Tabora anaenda kuwa mbunge Arusha mjini.Magu alituvuruga sana!!
Hatapata kura, aliyekuwa anaiba kura kafaSiasa haina kanuni
Gambo kwa kujilipua kufichua uovu na Rushwa kwa ushahidi mzito ule anakosaje kura? kataja majina ya wapokea rushwa na Accounts zao na muwekaji wa fedha sasa hapo akikosa kura maana yake tunataka Mbunge anaeshirikiana na Wezi?