chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,636
- 19,861
Buriani Mrisho Gambo!
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.
Hiyo ndio kauli pekee inayomstahili Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo.
Baada ya "kukusoma" upepo wa SSH kwamba 2025 hakuna mbeleko, ameanza kutapatapa na kumlaumu Kila anayemuona mbele yake.
Sasa analaumu hata maafisa wa chama ambao walikesha usiku na mchana kumpigia "debe". Kwa maneno mengine, Gambo amekitukana chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha.
Namshauri aanze ziara ya kuaga, na Arusha inamtakia Kila la kheri huko aendako.