Mrembo Qandeel Baloch auwawa kwa kusababu ya picha zake mtandaoni

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mrembo maarufu katika mitandao ya kijamii nchini Pakistan aitwae Qandeel Baloch, ameuawa kwa kunyongwa na kaka yake baada ya kaka huyo kuchukizwa na picha za dada yake mitandaoni.

Japo kaka yake huyo alikimbia Polisi ilifanikiwa kumkamata na kukiri hadharani kuhusika na mauaji ya dada yake mbele ya waandishi wa ha

Alijipatia umaarufu zaidi nchini humo baada ya kuahidi kuwa angevua nguo online kama timu ya Pakistan ingeshinda kwenye mchezo wa cricket dhidi ya mahasimu wao India.

Baloch alitengeneza pia vichwa vya habari baada ya kupost selfie kwenye Instagram akiwa na Mufti Abdul Qavi, moja ya viongozi wa dini nchini humo na kupelekea kusimamishwa wadhifa huo.
Kaka yake alidai kuwa skendo zake ndizo zilimfanya achukue uamuzi wa kumuua.
 
habar inahusu picha na hakuna picha kwenye bandiko.

C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg



C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg


C:\Users\INTERN~1\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image003.jpg
 
Mrembo maarufu katika mitandao ya kijamii nchini Pakistan aitwae Qandeel Baloch, ameuawa kwa kunyongwa na kaka yake baada ya kaka huyo kuchukizwa na picha za dada yake mitandaoni.

Japo kaka yake huyo alikimbia Polisi ilifanikiwa kumkamata na kukiri hadharani kuhusika na mauaji ya dada yake mbele ya waandishi wa ha

Alijipatia umaarufu zaidi nchini humo baada ya kuahidi kuwa angevua nguo online kama timu ya Pakistan ingeshinda kwenye mchezo wa cricket dhidi ya mahasimu wao India.

Baloch alitengeneza pia vichwa vya habari baada ya kupost selfie kwenye Instagram akiwa na Mufti Abdul Qavi, moja ya viongozi wa dini nchini humo na kupelekea kusimamishwa wadhifa huo.
Kaka yake alidai kuwa skendo zake ndizo zilimfanya achukue uamuzi wa kumuua.
Kwakweli sisi wanaume huwa hatupendi kabisa dada zetu wala ndugu zetu au jamaa zetu wakike wawe na tabia ambazo sinaashiria umalaya! sio huko pakistan tuu hata huku Tz tabia za wanawake kujishebedua wajue fika kwamba ndugu zao huwa hawapendezwi kabisa na tabia hizo za kujionyeshaonyesha mbele ya wanaume!
 
huyo kaka yake kaamua kujipatia mabikra 72 hapo baadae baada ya maisha ya duniani
 
huyo kaka yake kaamua kujipatia mabikra 72 hapo baadae baada ya maisha ya duniani


Atajipatia mara 100 kama yesu alivyosema

Marko

10:29 Yesu akasema, "Kweli nawaambieni, kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au mama, au baba, au watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Habari Njema,

10:30 atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele.
 
Back
Top Bottom