Huyu ndiye Fancy Nkuhi aliyeteuliwa na Mr. President kuwa mkuu wa wilaya Manyoni.
Experience- fresh from college. View attachment 21773
Kwa tabia ya Mkwele ilivyo sishangai kusikia anamlamba huyu binti.
Mama weeee
zaituni ndio mkuu wa wilaya????????????????????
Huyu ndiye Fancy Nkuhi aliyeteuliwa na Mr. President kuwa mkuu wa wilaya Manyoni.
Experience- fresh from college. View attachment 21773
Huyu yuko single au double?
tafuteni jamani kwenye orodha ya ma DC, uteuzi huu ulishafanywa siku nyingi .........Rais JK mpaka leo hajateua makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, hivyo thread hii si ya kwweli
Amesoma Chuo UDSM ana degree ya Sheria I think aligombea Ubunge wa Viti Maalum hakupata, but she is very bright and smart. And I think she will manage very well if wht u r saying here is true