Kama anasomaga JF naona nimpe ka ushauri tu. Apokee hiyo hela yake ya pension aondoke nayo taratibu. Akifika kule Kahe kwake, aongezee ng'ombe zake na mbuzi na kondoo wake. Aoteshe miti mingi tu ya matunda.
Lakini, kama anayo imani kuwa Wapo watu bado wanampenda, sisi tulio huku tunamwambia asome alama za nyakati.
APUMZIKE KWA AMANIIII
Lakini, kama anayo imani kuwa Wapo watu bado wanampenda, sisi tulio huku tunamwambia asome alama za nyakati.
APUMZIKE KWA AMANIIII