Mrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
mwache agombee misukule wenzake watamchagua!!
CCM au?Hivi yuko chama gani tena huyu??
Kwa lipi alilofanya Vunjo? Aache ujinga wake huyu babu, kashindwa kuwapelekea maji, kashindwa kupeleka umeme mashuleni bado ana tamaa ya jimbo???
Atagombea kwa TLP au CCM? CDM, nafikiri katika yote hilo ni jimbo la kwanza jepesi, la pili ni Arumeru Magharibi kwa Medeye, la tatu ...
teh teh, kurudisha maendeleo? Kwani yalienda wapi?CCM naskia wameandaa mtu maalum kurudisha maendeleo ya katika Jimbo hilo.
kama anataka kupoteza alichopata kwa wakati huu ajaribu kugombea tena aone maana safari hii Chadema itamsimamisha mgombea wa Nguvu. akibishana na mawazo yangu atakuwa sikio la kufaMrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
Mrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
Hivi yuko chama gani tena huyu??