Ukabila umeuwaza wewe... Point kuwa kuna maeneo yenye matatizo zaidi, sidhani kama wewe unaweza kuwa na taarifa kuliko kamati yenyewe. Lakini kuna tatizo gani Mkuu? Mbona tena atakakoenda baadae ndiko atafanya kazi nzuri zaidi kwani atakuwa ameshapata uzoefu wa kutosha wa jinsi ya kupambana na taarifa 'feki' za wakurugenzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.