Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Kama marais wastaafu hawashtakiki Magufuli asiwadanganye watu kwamba anachukia ufisadi. Ukiona mtu anatetea ufisadi na yeye ni mnufaika wa ufisadi.
Keshasahau alitimuliwa kwa kutokupenda "Collective Responsibility"Huyu Mzee angebaki tu nyumbani awalee wajukuu