Jamani mmeskia jinsi mh. Mrema anavyomfagilia JK kuwa matokeo ni ya halali na hivyo Dr Slaa hana budi kuyakubali na wapinzani wasiyabeze matokeo hayo. Anasema JK amewaacha kwa mbali wapinzani wake na hivyo ni rais halali!
Hivi kweli kichwani zipo au hamnazo? Ni bora hata Mrema asingejiuzulu uwaziri enzi zake, maana anaitamani CCM, kurudi anaona aibu! Na Lipumba nae hivyohivyo anajibaraguza kwa JK hadi kumpa ilani yake ya uchaguzi.
Kinachonikera na kinachonifanya niwaone TLP na CUF na vyama vingine (ukiondoa CHADEMA) ni wasaliti ni kumkubali mchakachuaji. Sasa je, Tanzania hii kuna upinzani au wapinzani wanaingia kwenye vyama vya siasa kwa lengo la kuganga njaa? Sasa chama pekee cha upinzani kwangu mimi ni CHADEMA peke yake.
Eh Mungu naomba usimfanye na Dr Slaa nae akabadilika hapo badae na kuwa kama CUF, TLP, n.k kwani sisi wanyonge tutakuwa hatuna kimbilio na tutakuwa tumekwisha!
Hivi kweli kichwani zipo au hamnazo? Ni bora hata Mrema asingejiuzulu uwaziri enzi zake, maana anaitamani CCM, kurudi anaona aibu! Na Lipumba nae hivyohivyo anajibaraguza kwa JK hadi kumpa ilani yake ya uchaguzi.
Kinachonikera na kinachonifanya niwaone TLP na CUF na vyama vingine (ukiondoa CHADEMA) ni wasaliti ni kumkubali mchakachuaji. Sasa je, Tanzania hii kuna upinzani au wapinzani wanaingia kwenye vyama vya siasa kwa lengo la kuganga njaa? Sasa chama pekee cha upinzani kwangu mimi ni CHADEMA peke yake.
Eh Mungu naomba usimfanye na Dr Slaa nae akabadilika hapo badae na kuwa kama CUF, TLP, n.k kwani sisi wanyonge tutakuwa hatuna kimbilio na tutakuwa tumekwisha!