Maagizo ya Paul Makonda siyo yake, ni ya taasisi "CCM na Serikali"

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,391
1,258
Wanabodi, Salaam!

Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.

Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.

Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?

Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.

Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.

Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".
 
Wanabodi, Salaam!

Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.

Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.

Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?

Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.

Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.

Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".
Wewe huna ujualo,Makonda kutoa agizo lile hadharani ni utovu wa nidhamu kwa kiwango chochote kile. Wanakaa kwenye Kamati Kuu wangeyamaliza huko huko.
 
Wanabodi, Salaam!

Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.

Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.

Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?

Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.

Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.

Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".

Mtatoa ufafanuzi mpaka mchoke. Makonda kalijua kosa lake ndio maana kakimbilia kwenye ofisi ya Waziri Mkuu kuomba msamaha.
 
Ila siasa itaimaliza Tanzania, hakuna utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kiwango kikubwa issues ni kudanganya wananchi na kuwachanganya tu ili waamini katika maneno ya majukwaani yaliyo bila actions zenye developmental impacts kwa wananchi.

Tukiacha kuhangaika na midahalo yao ya kisiasa itatusaidia kuwakumbusha kuwa hatutaki siasa tunataka development in our country.
Hicho kinachoendelea ndiyo siasa yenyewe hakuna kitu hapo, ccm yataka ifikiriwe mda wote na wananchi that’s why wanaibua vihoja every single day.
 
Kikao kipi kilitoa maagizo hayo ?
Dah mdau hiv hata ukiw upo kwa watoa taarifa ndio inafunga milango yako ya ufahamu. Somo umepewa hapo bado unauliza kikao kipi? Haya una access ya vikao vyote unapata minutes zake? Mbona mtoa mada katoa shule ya jumla, mnatumia kero za wananch kama kete, zinatolewa maagizo mnasema kakosea,hakupaswa kutoa hadharan mbona mkisimama majukwaan mnasema hadharan.kwanin maagizo yasiwe nayo hadharan.
 
Dear followers and learners "sifurahii baadhi yetu kutumia lugha zenye ukakasi na za matusi dhidi ya wachangiaji".

Utamaduni wa kutoa lugha ya matusi siyo mzuri na haubariki watu waungwana.
 
Wanabodi, Salaam!

Paul Christian Makonda anaposimama kutoa maelekezo tusimhujumu au kumchukulia tofauti.

Msimamo anaoutoa siyo wa kwake - ni msimamo wa taasisi yake iliyompendekeza na kumteua "CCM". So wkt wa kampeni za uchaguzi za mwaka 2015 na 2020 wapinzani wakiwa Kagera, Dar, Arusha, Manyara na Dodoma walitumia kete ya migogoro ya ardhi ili kujipatia uungwaji mkono.

Aidha, hata baada ya SSH kuruhusu vyama vya upinzani kuanza mikutano ya kisiasa Tundu Lisu na wenzake huko Arusha na Manyara wametumia turufu hiyo kutaka kujijenga kisiasa. SASA kwa nini CCM kipoteze ushawishi ktk baadhi ya maeneo ya nchi KISA migogoro ya ardhi huku tuna viongozi waliopewa dhamana kuisimamia?

Narudia tena kuwa Paul Christian Makonda anazungumza, anaagiza na kuelekeza watendaji ktk sekta kadhaa kuhakikisha kero ndogo zinaondolewa - na Mwenezi huyu yupo kwa niaba ya CCM. Ni takwa la Ilani ya uchaguzi kuhakikisha watanzania wanafanya shughuli zao bila bughudha, na kunyanyaswa.

Hivyo ili matokeo mazuri yatokee CCM imemtuma Paul Christian Makonda kuwahimiza watendaji kuwajibika positively kwa wananchi. Kwa ufupi ni kuwa Paul Makonda yupo kuwanyima AGENDA CDM, ACT, Umoja, CUF, NCCR Mageuzi na tuvyama twingine.

Hongera Paul Makonda, hongera CCM "kazi iendelee".
Japo maamuzi ya chama huwa yanapitia kwenye vikao halali hata hivyo sishangai labda wakati wa uteuzi wake hii ndio randama aliyopewa kuitekeleza kwa mujibu wa zidumu fikra za mwenyekiti wa ccm!

Lakini huu ni mkanganyiko wa mgawano wa majukumu katika chama chetu katika mila na utamaduni wa chama kunapokuwepo hitajio la mabadiliko yenye taswila ya nje basi ni vyema wanachama na wananchi kujulishwa mabadiliko hayo ili kuondoa huo mkanganyiko.

Je huoni kwamba vyama vingine badala ya kuvishinda vinaweza kutumia mkanganyiko huu kutoa shambulio kali kisiasa kwamba chama hiki kimekosa dira na mwelekeo kinateua viongozi wasio na uwezo kiutendaji na hatimaye kunusuliwa na mwenezi dakika za majeruhi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu?!

Mimi sina tatizo na Makonda kama mwenezi ila tatizo ni uvukaji mipaka wa majukumu yake na pia makandokando yake ya nyuma ambayo hayajasafishwa mpaka sasa.
 
Makonda anasema mawaziri wote lazima wawajibike na kuripoti kwa ccm.

Hivi waziri analipwa mshahara wa kodi za walipa kodi wote wa Tanzania.

Leo hii unamlazimisha kuitii na kuipigia magoti ccm ?

Makonda naona spiidi yako itakuja kuleta aibu sanaa kwako wewe na ccm.
 
Makonda anasema mawaziri wote lazima wawajibike na kuripoti kwa ccm.

Hivi waziri analipwa mshahara wa kodi za walipa kodi wote wa Tanzania.

Leo hii unamlazimisha kuitii na kuipigia magoti ccm ?

Makonda naona spiidi yako itakuja kuleta aibu sanaa kwako wewe na ccm.View attachment 2813688
Duuh sijui nani kampa jero la kununua bundle na mvua hizi!
 
Back
Top Bottom