Kaisha huyu ana muelekeo wwt kilichobaki lazima ajipendekeze tu,mi najua bado ana machungu na jimbo lake lakin hio isiwe sababu kukosa kuendelea kuhubiri amani,sasa yeye hatak watu waongee anataka fujo na maandamano yatokee tu hio tareh moja!! huyu jamaa anashangaza aisee.....halafu aconcetrate kwe majukum yake aliopewa na mheshimiwa Rais maana naona kila cku yeye kwe media tu
kwa hiyo yeye haoni kama imelenga kuwabebeleza polisi ili wawaachie chadema waandamane?View attachment 386824
Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.
Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.
Chanzo 😀ar24
Kweli mkuu,hakuna ajuae kesho yake,ni vyema watu wajikite kukosoana hoja zao kuliko kubezana afya,manake unayembeza leo nae jana alikuwa mzima kama wewe.Hakika... Suala la ugonjwa mungu ndo anajua zaidi..!
Pumbavu unaleta ukabila,huyu mzee anatudhalilisha sana wachaga aisee maana huyu inamsumbua njaa atanyenyekea mpaka kero khaa
Maana ya kuiva ni kuwa na ngozi inayonawiri kutokana na kuwa maisha bora.kabla hujafa hujaumbika,dhihaka si jambo jema.