Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,757
- 6,591
kwa katiba IPI?Naibu Waziri Mkuu
kwa katiba IPI?Naibu Waziri Mkuu
F.A.O Mr. Mrema: If you live in a glasshouse, don't throw stones.View attachment 386824
Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.
Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.
Chanzo 😀ar24
Mzee yupo sawa
Hawa si wakubembereza
Watavimba vichwa hawa,
Sikio halizidi kichwa
Kwanini wabembelezwe!!!
Anajikomba kulipa fadhila kwa uenyeketi wa bodi aliompa.Anataka Uncle Magu amkumbuke mana amesahau
Mwigulu Nchemba ameshasema hawako tayari kujadiliana na mtu yeyote.Huyu dingi hajielewi, jaji alichokifanya ndicho kitu nilipenda kuona Rais anakifanya, kujaribu kuwakalisha na kuzungumza kwanza kufikia muafaka, kwa nini tutumie violence kabla ya kujaribu diplomacy.
Mzee Mrema, deal na Parole kwaza... haya waachie wenyewe.View attachment 386824
Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.
Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.
Chanzo 😀ar24
Nakubaliana na mzee maana hawa ni Nyumbu na kawaida kiongozi akianzisha safari wao ni kufata tu hata kama kuna shimoView attachment 386824
Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.
Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.
Chanzo 😀ar24
Tuambie kiongozi gani wa chadema ambaye watoto wake hawali na wala hawaendi choo. Huu ni ulofa. Msidanganyane. Mnatumika kwa faida ya hao wanaojua kuzitumia hela. Mtakufa maskini na familia zenuAKIONA YEYE NA WANAWE WANAKULA NA KWENDA CHOONI BHAS INATOSHA,ANAFIKIRI UKUTA WANATANIA,WAKO SERIOUS MAZUNGUMZO YAFANYE HAYA MAMBO YAISHE,HAINA HAJA YA KUTUNISHIANA MISULI,TUTAANDAMANA KWA MUJIBU WA SHERIA
Mwigulu Nchemba ameshasema hawako tayari kujadiliana na mtu yeyote.
Na akiwa anavyote, Uzee, Ugonjwa, Ulevi, Ngoma, Na Mtindio wa Ubongo ndio Kabisa Ukae nae Umbali wa Maili 200 USIMPIGE!Kwetu Usukumani tumeambiwa tusiwapige Wazee, watoto na Wagonjwa... Gwajima.
tulia wewe magwangalaMzee yupo sawa
Hawa si wakubembereza
Watavimba vichwa hawa,
Sikio halizidi kichwa
Kwanini wabembelezwe!!!
Mzee wa kiraracha hayupo vizuri upstairs...nadhani ana issues.Ni aibu kwa mwanaume kujipendekeza kwa mwanaume mwenzake.Kubembeleza maana yake nini? huyu mzee wa kiraracha naye kwa unaa!