Mrema ataka CHADEMA wasibembelezwe

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,262
1472024914344.jpg


Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.

Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.

Chanzo :Dar24
 
View attachment 386824Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.

Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.

Chanzo :Dar24
mzee anajipendekeza mpaka anatia kinyaaa
 
mi najua bado ana machungu na jimbo lake lakin hio isiwe sababu kukosa kuendelea kuhubiri amani,sasa yeye hatak watu waongee anataka fujo na maandamano yatokee tu hio tareh moja!! huyu jamaa anashangaza aisee.....halafu aconcetrate kwe majukum yake aliopewa na mheshimiwa Rais maana naona kila cku yeye kwe media tu
 
View attachment 386824

Mwenyekiti wa bodi ya Parole, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labor Party (TLP) Augustine Mrema ameunyooshea kidole mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kufanya maandamano nchi mzima Septemba 1,kupitia Operesheni waliyoipa jina la UKUTA.

Akizungumza muda mfupi baada ya Msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kutangaza kuvialika vyama vya siasa kwenye Baraza la vyama vya siasa kwa lengo la kufanya mazungumzo kuhusu hali ya kisiasa nchini, Mrema amekosoa mpango huo akidai umelenga kuwabembeleza Chadema.

Chanzo :Dar24
MREMA NI AMESHAKUFA KISIASA!
 
Mrema azeeka vibaya kwani kama ndugu wakikaa pamoja wakielewana yeye kinachomwumiza ni nini ebu naatulie zake hana jipya tena na hata busara na hekima zinamtoka sasa.
 
Katika biashara zote, biashara ambayo ukifilisika huponi tena ni biashara ya siasa. Huyu kafilisika biashara ya siasa, na kamwe hatarudi ulingoni.
 
AKIONA YEYE NA WANAWE WANAKULA NA KWENDA CHOONI BHAS INATOSHA,ANAFIKIRI UKUTA WANATANIA,WAKO SERIOUS MAZUNGUMZO YAFANYE HAYA MAMBO YAISHE,HAINA HAJA YA KUTUNISHIANA MISULI,TUTAANDAMANA KWA MUJIBU WA SHERIA
 
Huyu dingi hajielewi, jaji alichokifanya ndicho kitu nilipenda kuona Rais anakifanya, kujaribu kuwakalisha na kuzungumza kwanza kufikia muafaka, kwa nini tutumie violence kabla ya kujaribu diplomacy.
 
Back
Top Bottom