Mrema aomba ukurugenzi TPA

Mrema aomba ukurugenzi TPA

Mwacheni apete hasa kama atawazidi kwa sifa wengine watakao omba hiyo nafasi
 
Kuna Watanzania hawana aibu kabisa, yaani umefutwa kazi TANROADS kwa kashfa na tuhuma za ubadhirifu, halafu leo hii unadhani Watanzania wameshau unataka tena kuomba kazi kwenye taasisi nyingine nyeti...
 
Tusiingilie mchakato wa kuwapata wahusika. Wanaochagua ni waelewa na kama kuna udhaifu unajulikana. Tulia tu mambo yatapikwa na mtafurahi
 
mm nilifikiri mrema wa chama cha TLP kumbe huyo kwani kuna neno lolote?
KATIKA majina yaliyoomba ukurugenzi mkuu wa malaka ya bandari limo la Efraem Mrema aliyekuwa Mtendaji mkuu wa wakala wa barabara TANROADS, ambaye alilalamikiwa sana kwa ufisadi. Mrema ametia jina lake akitegemea ushindi mkuwa mkubwa kwani katika kambi yake yumo Ridhwani Jk na shemeji yake Albert Marwa,wamo pia wajumbe wa bodi ya TPA bwana Julias Mamilo na John Ulanga.

ni masikitiko makubwa sana hivi kweli nyie akina Ridhwan,Arbert Marwa,John Ulanga na Julius Mamilo mna uchungu na uhai wa bandari? yaani madudu yote aliyofanya Mrema pale TANROADS iliyopelekea kung'olewa na Magufuli mmeyasahau? hivi tamaa ya kushibisha matumbo yenu kwa biashara za magendo ya kontena yanawatia upofu na kusahau manufaa ya umma? Ridhwan na shemeji yako Albert Marwa mmethubutu kusafiri mpaka Japan kumfuata waziri Mwakyembe kwa faragha mkibembeleza jina la Mrema lipitishwe? tunawaambia wazi hii project yenu ya Mrema haikubaliki aslan!! Mwakyembe ni mtu safi anamjua vyema huyo Mrema wenu tangu yuko uchukuzi na yeye na Magufuli ndio walimsambaratisha Mrema baada ya kushindikana kwa muda mrefu.
 
Aliyeharibu TANROADS ni nani kati ya Magafuli na Mrema? Tuangalie TANROADS ya sasa na wakati wa Mrema. I understand kwa sasa TANROADS inashindwa ku meet obligations zake kwa contractors na wana penalty payments za kutisha. Wanasiasa wameingilia mno TANROADS.
 
hii habari imekaa kimajungu na uongo zaidi! wengi mlio wataja ni watu wangu wa karibu, hata hawamfahamu huyo muhusika na wengine hawafahamiani kabisaa! jamani no research no wright to speak!
 
KATIKA majina yaliyoomba ukurugenzi mkuu wa malaka ya bandari limo la Efraem Mrema aliyekuwa Mtendaji mkuu wa wakala wa barabara TANROADS, ambaye alilalamikiwa sana kwa ufisadi. Mrema ametia jina lake akitegemea ushindi mkuwa mkubwa kwani katika kambi yake yumo Ridhwani Jk na shemeji yake Albert Marwa,wamo pia wajumbe wa bodi ya TPA bwana Julias Mamilo na John Ulanga.

ni masikitiko makubwa sana hivi kweli nyie akina Ridhwan,Arbert Marwa,John Ulanga na Julius Mamilo mna uchungu na uhai wa bandari? yaani madudu yote aliyofanya Mrema pale TANROADS iliyopelekea kung'olewa na Magufuli mmeyasahau? hivi tamaa ya kushibisha matumbo yenu kwa biashara za magendo ya kontena yanawatia upofu na kusahau manufaa ya umma? Ridhwan na shemeji yako Albert Marwa mmethubutu kusafiri mpaka Japan kumfuata waziri Mwakyembe kwa faragha mkibembeleza jina la Mrema lipitishwe? tunawaambia wazi hii project yenu ya Mrema haikubaliki aslan!! Mwakyembe ni mtu safi anamjua vyema huyo Mrema wenu tangu yuko uchukuzi na yeye na Magufuli ndio walimsambaratisha Mrema baada ya kushindikana kwa muda mrefu.

siasa hadi kwenye shortlist ....kweli mwaka huu bodi ya TPA imepata watoto wa mujini kina Rich na wenzake .......ila kuna dogo mmoja kwenye ile bodi namkubali sana anaitwa Mchumo....he doesn't sound to have political interests...

Mrema asiwasumbue sana ni Mchagga...hawezi kupewa ..kwanza hajui kuogelea anaogopa maji
!!
 
Hahahahahahahaha
Haya mtafuteni mzungu labda wao ndo mnawaona malaika
Hahahahahahahaha
 
Nilijua ni Lyatonga nikaanza kutabasamu maana yeye huwa anatoa siku 7. Kumbe hapana. Napita zangu
 
wew acha majungu, huna lolote.. acha watu waombe wapimwe kwa uwezo wao na si vinginevyo eti Makufuli alimsambaratisha acha siasa hizo vp kuhusu zile bil.200 na zaidi zilizopotea na akakosa majibu..tz tumejaaa majungu,chuki na fitina na ndo maana hatuendelei hasa kwa ajili ya watu kama wew.. au na wew mgombea??? unaogopa Mrema anaweza kukuwikea ukungu..pole

Mijitu mingine hua ni MIPUUZI saana,mpo kwaajili ya kutetea vitu vya kishenzi kwa ujira mdogo mnaopata,nyie subirini tu 2015 ndio kiama chenu.
 
Kwani kuna waombaji wangapi ? Kwanini Mrema mwenye Mawaa anafanyiwa Mipango , na si wengine ?
Mimi sijui wako wangapi na wala sijui kama huyo Mrema anafanyiwa mipango. Hizi ni kauli zako na sijui kwa nini umuandame Mrema pekee, kwani hakuna wengine wanaopigiwa chapuo?
 
I wish ningekuwepo kwenye panel nikiwa na data zote za Ufujaji wa pale TANROAD the autolee maelezo!
 
Huu ni umbea usio na nia njema. Mrema ni Mtanzania mwenye haki zake na anastahili kuomba kazi hiyo. Tuache mchakato uendeshwe kwa haki siyo kuingiza majungu.

Haki ipi unayoiongelea kama watu wamesafiri hadi Japan ili abebwe unazungumziaje maslahi ya nchi kuwa ni umbea?? Au unadhani nchi hii ni mali yenu na Kina Ridhiwan??
 
Mimi sijui wako wangapi na wala sijui kama huyo Mrema anafanyiwa mipango. Hizi ni kauli zako na sijui kwa nini umuandame Mrema pekee, kwani hakuna wengine wanaopigiwa chapuo?
Kwasababu hafai na alituonesha hilo Tanroads na kubebana ndio kumeua viwanda, mashirika yetu hapa nchini, na ikumbukwe kuna watu wengi wasomi na hawana kazi wapewe hao watusogeze mbele.
 
Vigezo vipo wacha wagombea wote wapimwe kwa vigezo vyao.

Haya mengine ni majungu tu pengine mleta mada ana mtu wake anataka amfagilie.
 
Kwasababu hafai na alituonesha hilo Tanroads na kubebana ndio kumeua viwanda, mashirika yetu hapa nchini, na ikumbukwe kuna watu wengi wasomi na hawana kazi wapewe hao watusogeze mbele.

Ninaiona hili ni suala la chuki binafsi, yaani hao wengine wote walioomba ni huyu tu ndio anapigiwa chepuo na kundi fulani la watu?
 
mkuu kama huna vigezo kaa pembeni , kama unavyo omba na wewe
 
Hivi kwanini huyu Mr Kipande anayekaimu nafasi hiyo ya Mkurugenzi Mkuu wasimidhinishe kuwa Mkurugenzi kamili badala ya kutafuta hao "Mufilisi Agents"??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom