Haya ndio yanaitwa majungu; si kazi inashindaniwa? kama ana sifa mbovu atatolewa maana hao uliowataja hawana mamlaka yao binafsi ya kumchagua huyo bwana waka.
Wanaomtetea wanajipendekeza tu kwa mtoto wa mshua na hii inatokana na u..nge walionao
Mbona mnamtetea sana ni kabila lenu nini? Maana nyie kwa wizi hamjambo
Only in Tanzania......mtu kama Mrema kupewa tena kazi ya Umma!....only in Tanzania.......huyu bwana kavurunda toka enzi za USRP phase I & II....ukitaka habari zake Muulizeni Mama Sijaona......pale TANROADS ndio kabisaa....alishindwa kazi.....na kuingizia hasara sana Taifa letu........kwa mikataba ya hovyo hovyo......kumpeleka huyu Bandari.....HUKU NI KUJINYONGA wenyewe........zile ndoto za ku-compete na Mombasa for sure zitayoyoma........
Mkuu huyu jamaa huwa anatumiwa na kundi la wanasiasa wezi namafisadi.Only in Tanzania......mtu kama Mrema kupewa tena kazi ya Umma!....only in Tanzania.......huyu bwana kavurunda toka enzi za USRP phase I & II....ukitaka habari zake Muulizeni Mama Sijaona......pale TANROADS ndio kabisaa....alishindwa kazi.....na kuingizia hasara sana Taifa letu........kwa mikataba ya hovyo hovyo......kumpeleka huyu Bandari.....HUKU NI KUJINYONGA wenyewe........zile ndoto za ku-compete na Mombasa for sure zitayoyoma........
Huu ni umbea usio na nia njema. Mrema ni Mtanzania mwenye haki zake na anastahili kuomba kazi hiyo. Tuache mchakato uendeshwe kwa haki siyo kuingiza majungu.
Interview itaamua no one is clean 100% ata alyeleta topc ana mtu wake alyeomba hyo nafas ya kuwa MD TPA apo ni conflct of interest amna kpya ata akna maguful na mwkyembe wapga dli
KATIKA majina yaliyoomba ukurugenzi mkuu wa malaka ya bandari limo la Efraem Mrema aliyekuwa Mtendaji mkuu wa wakala wa barabara TANROADS, ambaye alilalamikiwa sana kwa ufisadi. Mrema ametia jina lake akitegemea ushindi mkuwa mkubwa kwani katika kambi yake yumo Ridhwani Jk na shemeji yake Albert Marwa,wamo pia wajumbe wa bodi ya TPA bwana Julias Mamilo na John Ulanga.
ni masikitiko makubwa sana hivi kweli nyie akina Ridhwan,Arbert Marwa,John Ulanga na Julius Mamilo mna uchungu na uhai wa bandari? yaani madudu yote aliyofanya Mrema pale TANROADS iliyopelekea kung'olewa na Magufuli mmeyasahau? hivi tamaa ya kushibisha matumbo yenu kwa biashara za magendo ya kontena yanawatia upofu na kusahau manufaa ya umma? Ridhwan na shemeji yako Albert Marwa mmethubutu kusafiri mpaka Japan kumfuata waziri Mwakyembe kwa faragha mkibembeleza jina la Mrema lipitishwe? tunawaambia wazi hii project yenu ya Mrema haikubaliki aslan!! Mwakyembe ni mtu safi anamjua vyema huyo Mrema wenu tangu yuko uchukuzi na yeye na Magufuli ndio walimsambaratisha Mrema baada ya kushindikana kwa muda mrefu.
Nipe udhibitisho kwamba ameandaliwa mchakato ili tuwe pamoja! Haya mambo ya kujadili wa2 ni utamaduni wa kipuuzi ambao utatutesa mbeleni.Kama ni hivyo kwanini wanamuandalia Mchakato ?
Pumba na chuki binafsiKATIKA majina yaliyoomba ukurugenzi mkuu wa malaka ya bandari limo la Efraem Mrema aliyekuwa Mtendaji mkuu wa wakala wa barabara TANROADS, ambaye alilalamikiwa sana kwa ufisadi. Mrema ametia jina lake akitegemea ushindi mkuwa mkubwa kwani katika kambi yake yumo Ridhwani Jk na shemeji yake Albert Marwa,wamo pia wajumbe wa bodi ya TPA bwana Julias Mamilo na John Ulanga.
ni masikitiko makubwa sana hivi kweli nyie akina Ridhwan,Arbert Marwa,John Ulanga na Julius Mamilo mna uchungu na uhai wa bandari? yaani madudu yote aliyofanya Mrema pale TANROADS iliyopelekea kung'olewa na Magufuli mmeyasahau? hivi tamaa ya kushibisha matumbo yenu kwa biashara za magendo ya kontena yanawatia upofu na kusahau manufaa ya umma? Ridhwan na shemeji yako Albert Marwa mmethubutu kusafiri mpaka Japan kumfuata waziri Mwakyembe kwa faragha mkibembeleza jina la Mrema lipitishwe? tunawaambia wazi hii project yenu ya Mrema haikubaliki aslan!! Mwakyembe ni mtu safi anamjua vyema huyo Mrema wenu tangu yuko uchukuzi na yeye na Magufuli ndio walimsambaratisha Mrema baada ya kushindikana kwa muda mrefu.
Huu ni umbea usio na nia njema. Mrema ni Mtanzania mwenye haki zake na anastahili kuomba kazi hiyo. Tuache mchakato uendeshwe kwa haki siyo kuingiza majungu.
We uko dunia ya ngapi?hujui in tanzania impossible is nothingHaya ndio yanaitwa majungu; si kazi inashindaniwa? kama ana sifa mbovu atatolewa maana hao uliowataja hawana mamlaka yao binafsi ya kumchagua huyo bwana waka.