Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,380
- 39,337
Kama habari za kutoswa kwa wana CCM kule Arusha zina ukweli, nadhani umefika wakati kwa Mrema kurudi Bungeni kwa kwenda kugombea kiti cha wajanja hao na liwe pigo la kwanza kwa CCM. Kile kiti kingine kinaweza kugombewa na mwanaharakati mwingine kama Tundu Lissu hivi. Huo ndiyo uzuri wa nchi yetu... Na bila ya shaka ataweka rekodi ya kuwa kiongozi aliyewahi kuwa Mbunge wa majimbo matatu tofauti katika mikoa mitatu tofauti!!!