Kumfananisha Mzee Mrema na Zitto Kabwe ni kutomtendea haki Lyatonga. Kiukweli Mrema anamzidi Zitto kwa kila kitu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,897
141,833
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.

Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Kigoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.

Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!
 
Mrundi Ni mrundi tu! Ndiyo maana watu wa Kigoma naturally wanadharaulika ( kwa kinywa chake Zito mwenyewe wakati wa kipindi Cha Lisu Cha wajue wanasiasa).

Ni sehemu ya kutoa manamba wa mashamba ya katani, miwa and the like!
 
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.
Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Dodoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu waziri mkuu na waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.
Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!
🤣🤣🤣🤣
 
Yule Mrema aliyemfanya Mzee Nyerere apande jukwaani mwaka 1995 leo amekuwa wa kufananishwa na ZZK? Ama kweli tu wepesi kusahau.

Yule Mrema aliyemhenyesha Mzee Mwinyi na mgombea wake wa jimbo la Temeke,Abdul Cisco Mtiro, mwaka 1996 (kama siyo 1997), na bado akawalambisha sakafu amekuwa wa kudhihakiwa hivi?

Hivi watu wanamjua Mrema aliyeimbwa na Dr.Remmy Ongala kwenye kibao murua 'MREMA', na baadaye akatungiwa kitabu na Elvis Musiba?
 
Acheni kumfananisha Mzee Mrema na Vitoto vidogo

Mkuu wa Usalama wa Taifa wa zamani mkoa wa Shinyanga

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na naibu Waziri Mkuu

Waziri wa kazi na maendeleo ya vijana

Mbunge wa majimbo matatu tofauti i.e Temeke, Vunjo na Moshi vijijini kutokea vyama vitatu tofauti CCM, NCCR na TLP

Mwenyekiti wa Taifa wa vyama viwili tofauti vya TLP na NCCR

Mshindi namba 2 wa Uchaguzi Mkuu wa 1995 ambae alipata 26% kwny Uchaguzi ambao alipambana na Baba wa Taifa mwl Nyerere majukwaani plus dola tena hakuwa na sapoti ya genge la ulipo tupo tena walati ndio kwanza tunaingia kwny mfumo wa vyama vingi akiwa hana resources zozote

Huyu Mwamba ni katika miamba iliyowahi tokea nchini

Huyu mwamba alipigwa kashfa moja kubwa ssna kuwa ametangaza akiwa Rais atapiga marufuku watu kwenda Hijja na yale Makutano ya Kariakoo ya Uhuru na Msimbazi ndio yatakuwa Kaaba ikamkosesha sana Kura…Siasa chafu zimeanza zamani sana


Wapiga kura wa 1995 walipania kweli kuing'oa CCM kutokana na mihemko
 
Acheni kumfananisha Mzee Mrema na Vitoto vidogo

Mkuu wa Usalama wa Taifa wa zamani mkoa wa Shinyanga

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na naibu Waziri Mkuu

Waziri wa kazi na maendeleo ya vijana

Mbunge wa majimbo matatu tofauti i.e Temeke, Vunjo na Moshi vijijini kutokea vyama vitatu tofauti CCM, NCCR na TLP

Mwenyekiti wa Taifa wa vyama viwili tofauti vya TLP na NCCR

Mshindi namba 2 wa Uchaguzi Mkuu wa 1995 ambae alipata 26% kwny Uchaguzi ambao alipambana na Baba wa Taifa mwl Nyerere majukwaani plus dola tena hakuwa na sapoti ya genge la ulipo tupo tena walati ndio kwanza tunaingia kwny mfumo wa vyama vingi akiwa hana resources zozote

Huyu Mwamba ni katika miamba iliyowahi tokea nchini

Huyu mwamba alipigwa kashfa moja kubwa ssna kuwa ametangaza akiwa Rais atapiga marufuku watu kwenda Hijja na yale Makutano ya Kariakoo ya Uhuru na Msimbazi ndio yatakuwa Kaaba ikamkosesha sana Kura…Siasa chafu zimeanza zamani sana
Mrema yule sio Mrema wa Leo......na kumlinganisha na Zitto ni dawa tu, kuna mambo wanafanana na Mrema wa Leo..
 
Wote wanafanana kwa kuwa mapandikizi wa CCM ambao wapo maalum kuivuruga kambi ya upinzani pamoja na sifa mnazompa mrema ni mshenzi tu Kama Zitto.
 
Zitto kwa style yake hii ya kisiasa sidhani kama atafika mbali - kashapoteza kabisa trust ya kisiasa.. anajiunga na lile kundi la wapinzani ambapo hawaeleweki wapo koshoto ama kulia - kina Cheyo, Lipumba, Mrema.

Uzuri wenzake muda ushawatupa mkono, yeye ndiyo kwanza yupo kwenye siasa za ushindani - Mwanasiasa kijana unapokosa msimamo thabiti wa kisiasa utaitwa majina yote.
 
Zitto kwa style yake hii ya kisiasa sidhani kama atafika mbali - kashapoteza kabisa trust ya kisiasa.. anajiunga na lile kundi la wapinzani ambapo hawaeleweki wapo koshoto ama kulia - kina Cheyo, Lipumba, Mrema.

Uzuri wenzake muda ushawatupa mkono, yeye ndiyo kwanza yupo kwenye siasa za ushindani - Mwanasiasa kijana unapokosa msimamo thabiti wa kisiasa utaitwa majina yote.
Anachowazidi Zitto Kabwe hao wazee ni kwamba kwenye siasa mkimchoka na kumkazia anaweza kuhamia vyuoni kufundisha, basi ni hiyo tu last option aliyonayo.
 
Acheni kumfananisha Mzee Mrema na Vitoto vidogo

Mkuu wa Usalama wa Taifa wa zamani mkoa wa Shinyanga

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi na naibu Waziri Mkuu

Waziri wa kazi na maendeleo ya vijana

Mbunge wa majimbo matatu tofauti i.e Temeke, Vunjo na Moshi vijijini kutokea vyama vitatu tofauti CCM, NCCR na TLP

Mwenyekiti wa Taifa wa vyama viwili tofauti vya TLP na NCCR

Mshindi namba 2 wa Uchaguzi Mkuu wa 1995 ambae alipata 26% kwny Uchaguzi ambao alipambana na Baba wa Taifa mwl Nyerere majukwaani plus dola tena hakuwa na sapoti ya genge la ulipo tupo tena walati ndio kwanza tunaingia kwny mfumo wa vyama vingi akiwa hana resources zozote

Huyu Mwamba ni katika miamba iliyowahi tokea nchini

Huyu mwamba alipigwa kashfa moja kubwa ssna kuwa ametangaza akiwa Rais atapiga marufuku watu kwenda Hijja na yale Makutano ya Kariakoo ya Uhuru na Msimbazi ndio yatakuwa Kaaba ikamkosesha sana Kura…Siasa chafu zimeanza zamani sana


Wapiga kura wa 1995 walipania kweli kuing'oa CCM kutokana na mihemko
Watu walitishiwa kuachishwa kazi kwa kosa la kuunga mkono NCCR MAGEUZI ya Mrema. Lakini bado waliona ni heri kupoteza kazi kishujaa.
 
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.

Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Dodoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.

Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!
Naunga mkonao hoja
 
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.

Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Dodoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.

Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!

Si ajabu wewe ni mchagga. Hata kama mtu wako hana kigezo cha kusifiwa lakini utamsifia tuu. Wachagga wengi wenu mnakwama wapi?
 
Mrundi Ni mrundi tu! Ndiyo maana watu wa Kigoma naturally wanadharaulika ( kwa kinywa chake Zito mwenyewe wakati wa kipindi Cha Lisu Cha wajue wanasiasa).

Ni sehemu ya kutoa manamba wa mashamba ya katani, miwa and the like!

Uliza mleta mada ni kabila gani ndio utapata jibu, ni nadra sana mchagga amsifie mtu from nowhere halaf akamponda mchagga mwenzie, wachache tu wanaojitambua. Hii kitu inakera sana kwa hawa ndugu zetu wa kaskazini
 
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.

Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Dodoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.

Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!
Huyu Mrema ndio alimpigia kampen JPM , sasa hizi sifa nyingine zina faida gani?
 
Uliza mleta mada ni kabila gani ndio utapata jibu, ni nadra sana mchagga amsifie mtu from nowhere halaf akamponda mchagga mwenzie, wachache tu wanaojitambua. Hii kitu inakera sana kwa hawa ndugu zetu wa kaskazini
Huyo ni wa kumpuuza , Mrema boss wake ccm kama Zitto tu
 
Hivi unavyomchamba Zitto hivyo maana yake nini?😂😂😂😂
Nimeona katika kadhia hii ya katiba mpya watu wengi wanamfananisha mwenyekiti wa TCD Zitto Kabwe na mwenyekiti wa TLP Dr Mrema tena wanadai Zitto Kabwe ni Lyatonga aliyechangamka.

Kiukweli Zitto hafanani kabisa na mzee wetu Augustino Lyatonga Mrema.

Mrema amekuwa mbunge wa kuchaguliwa kwa majimbo mawili ya mikoa miwili tofauti Temeke na Vunjo.

Zitto alitumikia majimbo mawili hapo hapo Kigoma kwa kuuziana na Serukamba.

Mrema amekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri

Mrema alitangaza hadharani kwamba katika siasa za JUMLA yeye ni CCM na katika siasa za Rejareja yuko TLP
Zitto anaitumikia CCM kwa siri siri hana ujasiri wa kusema wazi.

Lakini kubwa kuliko yote mzee Mrema siyo MNAFIKI kabisa nyekundu anaita nyekundu na hamuogopi yoyote.

Zitto Kabwe ana siasa za kujipendekeza mara Chadema mara CCM yaani ni kama " bonge la popo"

Namtakia mzee Mrema harusi njema na yenye baraka!
 
Back
Top Bottom