Ebu mnisaidie uelewa; Kwani wabunge hao wamevuliwa uongozi au wamekataliwa kugombea uongozi ndani ya ccm tu? Maana magazeti niliyosoma yote hayajaonyesha kuwa wamesimamishwa uanachama, bali wamekatazwa kugombea uongozi ndani ya ccm kama walivyokuwa wanataka. .... Naomba ufafanuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.