Mrejesho

Mrejesho

Endelea kumuignore atanyooka tu

Unamdanganya mwanamke mwenzio...atapoteza mume jumla. Halafu wote watapata hasara, na watoto ndio waathirika wakuu. Tatizo nyie wanawake hamtafuti chanzo cha matatizo, mnapambana na matokeo! Hilo la kugomea ngono ni hatari sana, na mumeo yuko katika hatari ya kufa mapema.
 
Unamdanganya mwanamke mwenzio...atapoteza mume jumla. Halafu wote watapata hasara, na watoto ndio waathirika wakuu. Tatizo nyie wanawake hamtafuti chanzo cha matatizo, mnapambana na matokeo! Hilo la kugomea ngono ni hatari sana, na mumeo yuko katika hatari ya kufa mapema.

Kama huyo mwanaume ni mtu mzima na anaongea alishindwa nini kujieleza au hata kuwaeleza wazee kama kuna tatizo?
Kama mwanaume hajihurumii mwenyewe mkewe ndo akae na kujikombekeza kupata maambukizi ya maradhi. Huyo sio mtoto mdogo, akifa mapema amejitakia na mkewe hana hatia katika hilo.
Mwanamke ana haki ya kujilinda. Ziko familia zimeacha watoto yatima wakiwa wadogo kutokana na hayo ya kufumbia macho na mdomo matatizo.
 
Hukufunzwa unyagoni kutotoa siri za ndani hadharani? Weka basi na picha ya mumeo ili tukupe ushauri full package!

Wewe mbona unapenda sana picha za waume wa wenzio haya hiyo hapo
ImageUploadedByJamiiForums1450858055.836881.jpg
 
Mungu akupe nguvu zaid ya kushinda hayo yote... endelea kumwomba Mungu ampe lesson mume wako ili aweze kubadilika....
 
Back
Top Bottom