Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,999
Kwanza kabisa napenda kuishukuru serikali kwa kufufua shirika la reli Tanzania na pongezi kwa shirika hilo TRC kwani kazi waliyoifanya ni kubwa sana kulinganisha na watu wanavyoropoka tu bila kushuhudia kwa macho.
SAFARI ILIANZA SAA 11 JIONI NA KUWASILI MOSHI SAA 1 ASUBUHI NA DK 20.
Usafiri wa treni ni mzuri sana na wataalamu wa safari wanaweka usafiri wa treni kuwa wa pili kiusalama baada ya anga. Ndani ya treni ya Deluxe kuna furaha kuna fursa nyingi sana (nitazielezq kwa uchache)
Nilipanda daraja la pili kukaa 23500/= mpaka Moshi kulinganisha na basi zaidi ya 30000.
Kama ilivyo hakuna sehem inayokosa kaubaguzi na changamoto za hapa na pale. Wale waliopanda daraja la 3 kukaa ni marufuku kuzunguka zuka huko ndani bila sababu maalumu,labda unaenda polisi, toilet au duka la dawa na bafet. Wakati kwanzia la pili kukaa unaweza kwenda popote yan unaweza kutalii huko ndani bila shida.
Bafet kuna vinywaji vyote na vyakula vyote na bei ni kama ya mtaani kulinganisha na kusafiri kwa basi kwanzia wali nyama 3000 chips kuku 4000
Muda wowote unachimba dawa sio mpaka mfike sehem flani
Kama umeenda kula unashauriwa ukimaliza uondoke mana nafasi za kukaa ni chache sana na huwezi kukaa hapo ukizuga na soda au maji hapo wanaopewa kipaumbele ni wanaopiga vyombo tu mana sio take away ka maji na soda
Asee hapo kuna raha yake na mzuka wake ni kama pub flan hivyo japo kuna taa lakini watu hawaogopi kabisa kusasambua kubambia(hakuna kupiga picha lakini) nilipenda sana hii sehem,kuna watu wa kila aina na jamii tofauti wakibadilishana mawazo yan ni full mzuka sana.
CHANGAMOTO NI UKATAJI TIKETI KWA UPANDE WA DAR
Hapo lazma uwe na kitambulisho chochote au hata barua m/kiti wako wa mtaa kingine movement ya wasafiri kwa Dec ni kubwa sana TRC wanapaswa kujipanga vya kutosha kwan wanapaswa kuweka hata treni mbili yan kila siku kuwe na usafiri.
FURSA KWENYE TRENI HII HAPA
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka ATM mule ndani au Mawakala wa mitandao. Yan mtu anapiga kilaji mpaka ela inakata ana ela kwenye acc yake ya bank au mtandaoni anatoaje ili aendelee kutumia? Kilichobak hapo ni kubadilishana elfu 10 kwa elfu 8
Cha kusikitisha hii mitandao inapaswa kujiongeze waweke huduma ya "lipa kwa..." Na matangazo ya kutosha.
NENO LANGU KWA TRC DAR - MOSHI
ningependa kuwashauri watenganishe muziki wa bafet na wa kwenye behewa mana kuna mzuka wake.
KARIBUNI WADAU KUBORESHE SHIRIKA LETU
Sent using Jamii Forums mobile app
SAFARI ILIANZA SAA 11 JIONI NA KUWASILI MOSHI SAA 1 ASUBUHI NA DK 20.
Usafiri wa treni ni mzuri sana na wataalamu wa safari wanaweka usafiri wa treni kuwa wa pili kiusalama baada ya anga. Ndani ya treni ya Deluxe kuna furaha kuna fursa nyingi sana (nitazielezq kwa uchache)
Nilipanda daraja la pili kukaa 23500/= mpaka Moshi kulinganisha na basi zaidi ya 30000.
Kama ilivyo hakuna sehem inayokosa kaubaguzi na changamoto za hapa na pale. Wale waliopanda daraja la 3 kukaa ni marufuku kuzunguka zuka huko ndani bila sababu maalumu,labda unaenda polisi, toilet au duka la dawa na bafet. Wakati kwanzia la pili kukaa unaweza kwenda popote yan unaweza kutalii huko ndani bila shida.
Bafet kuna vinywaji vyote na vyakula vyote na bei ni kama ya mtaani kulinganisha na kusafiri kwa basi kwanzia wali nyama 3000 chips kuku 4000
Muda wowote unachimba dawa sio mpaka mfike sehem flani
Kama umeenda kula unashauriwa ukimaliza uondoke mana nafasi za kukaa ni chache sana na huwezi kukaa hapo ukizuga na soda au maji hapo wanaopewa kipaumbele ni wanaopiga vyombo tu mana sio take away ka maji na soda
Asee hapo kuna raha yake na mzuka wake ni kama pub flan hivyo japo kuna taa lakini watu hawaogopi kabisa kusasambua kubambia(hakuna kupiga picha lakini) nilipenda sana hii sehem,kuna watu wa kila aina na jamii tofauti wakibadilishana mawazo yan ni full mzuka sana.
CHANGAMOTO NI UKATAJI TIKETI KWA UPANDE WA DAR
Hapo lazma uwe na kitambulisho chochote au hata barua m/kiti wako wa mtaa kingine movement ya wasafiri kwa Dec ni kubwa sana TRC wanapaswa kujipanga vya kutosha kwan wanapaswa kuweka hata treni mbili yan kila siku kuwe na usafiri.
FURSA KWENYE TRENI HII HAPA
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuweka ATM mule ndani au Mawakala wa mitandao. Yan mtu anapiga kilaji mpaka ela inakata ana ela kwenye acc yake ya bank au mtandaoni anatoaje ili aendelee kutumia? Kilichobak hapo ni kubadilishana elfu 10 kwa elfu 8
Cha kusikitisha hii mitandao inapaswa kujiongeze waweke huduma ya "lipa kwa..." Na matangazo ya kutosha.
NENO LANGU KWA TRC DAR - MOSHI
ningependa kuwashauri watenganishe muziki wa bafet na wa kwenye behewa mana kuna mzuka wake.
KARIBUNI WADAU KUBORESHE SHIRIKA LETU
Sent using Jamii Forums mobile app