Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Bernard Membe, aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi na anayegombea tena ubunge katika jimbo hilo sasa kapata mpinzani kutoka TLP. Awali Msimamizi wa uchaguzi alikubali pingamizi la Membe dhidi ya mgombea huyo wa TLP kwamba wadhamini wake hawakuwa wamejiandikisha kupiga kura.
Baadaye Tume ya uchaguzi ilikubali rufani ya mgombea wa TLP na hivyo kumrejesha tena mgombea huyo, hivyo ina maana Membe sasa inabidi afanye kampeni.
Source: Kipindi cha Nipashe cha Radio One Sterio.
My take: 1. Ni haki wapinzani sasa wawe na wasiwasi kwa hawa ma-returning officers ambao ni makada wa CCM.
2. Kwa nini imechukua muda mrefu kuanzia 4.9.2010 hadi 28.9.2010 barua ya majibu ya rufani ya mgombea huyo wa TLP kumfikia kutoka NEC?
Baadaye Tume ya uchaguzi ilikubali rufani ya mgombea wa TLP na hivyo kumrejesha tena mgombea huyo, hivyo ina maana Membe sasa inabidi afanye kampeni.
Source: Kipindi cha Nipashe cha Radio One Sterio.
My take: 1. Ni haki wapinzani sasa wawe na wasiwasi kwa hawa ma-returning officers ambao ni makada wa CCM.
2. Kwa nini imechukua muda mrefu kuanzia 4.9.2010 hadi 28.9.2010 barua ya majibu ya rufani ya mgombea huyo wa TLP kumfikia kutoka NEC?